MABINGWA wa Botswana, Jwaneng Galaxy, wamewatuhumu vigogo wa Tanzania, Simba SC kwa mbinu za kichinichini, ikiwa ni pamoja na tuhuma za kuwekewa sumu kwenye vyakula, kabla ya mechi yao ya Ligi ya Mabingwa Afrika wikiendi iliyopita.
Galaxy ilikumbana na kichapo cha mabao 6-0 jijini Dar es Salaam Jumamosi, Simba ikitinga hatua ya robo fainali, lakini kocha wao Morena Ramoreboli ametoa tuhuma nyingi, akidai kuwa wenyeji wao walivuruga kwa makusudi maandalizi ya timu yake kabla ya mechi.
Galaxy ilikumbana na kichapo cha mabao 6-0 jijini Dar es Salaam Jumamosi, Simba ikitinga hatua ya robo fainali, lakini kocha wao Morena Ramoreboli ametoa tuhuma nyingi, akidai kuwa wenyeji wao walivuruga kwa makusudi maandalizi ya timu yake kabla ya mechi.
Botswana champions make allegations of food poisoning & theft after CAF Champions League thrashing by Simba
Botswana champions Jwaneng Galaxy have claimed they suffered food poisoning and lost items before their CAF Champions League clash with Tanzanian giants Simba which they lost 6-0.
www.pulsesports.co.ke