Rasmi nahama kwenye siasa

Rasmi nahama kwenye siasa

anthopody

JF-Expert Member
Joined
Dec 10, 2024
Posts
262
Reaction score
183
Expect unexpected,nilijua atarudi,ndio kwani kafanya mengi yenye kuonekana,nasema hivo Mimi mwananchi ninayeishi naye huyo mgombea aliyekatwa.

Amewakilisha wananchi vilivo,alisemea wananchi shida zetu akajenga hoja ameangukia pua,nahama kwenye siasa sitaki tena siasa za majimoto,husda,vihoja vilivo na hoja zenye vihoja,kwann akatwe mapema jamani,tena wawekwe watu wasiofahamika,hawana mchango unaoonekana hata kidogo,nahama kwenye siasa,ameweka alama ambayo haijathaminika.,kwani nini hiki jamani.

Zaidi ya miaka kumi kawa mwakilishi wa wananchi hata tatu Bora au list hayupo😆😭😭😏😏,nahama lipi lakufia kwa pressure

Majina yamewekwa mimi mpiga kura wengine siwajui,ni limitation ya kuchagua eti Popobawa apite,njia imelainishwa na vilainishi Ili Popobawa asipate kikwazo,mnamjua Popobawa nyie,sitaki siasa nahama kwenda mlengo mwingine

Alisaidia wapiga kura wake kwani nani kamkata,misiba,harusi shida na raha alikuwepo,nani kamkata huko majina yalipotokea.

Hivi wapiga kura wake walishirikishwa au wajumbe wenye malengo binafsi,nahama siasa sitaki siasa

Mjeledi eti ndio mgombea niliyeletewa,nani kawaambia?,huku watu wanaulizana huyu naye nani,nahama siasa sitaki siasa.

Nashindwa kuendelea kuandika pressure ipo juu,siasa jamani siasa heri kilimo kikumbwe na ukame,tumaini la wengi linaweza kugeuzwa na tumaini la wachache-Nahama siasa sitaki tena siasa

Watu wanasaga nyama kwa meno wengine wanalia na kusaga meno kwa meno😆😆

Watu wameliwa vichwa,wengine wamenyonywa vichwa😆😆
 
Mungu tuponye, awe waziri? kwani wataanzisha wizara ya mama ntilie?
Mh acha tu waziri ambae picha zake za uchi zime
Zagaa mtandaoni kweli? Waziri ambaye hana elimu wala mawazo yenye effect
 
🙌 🙌 🙌 It’s a lost cause, wala si peke yako, muda wa kutazama maisha mengine.

👋
 
Expect unexpected,nilijua atarudi,ndio kwani kafanya mengi yenye kuonekana,nasema hivo Mimi mwananchi ninayeishi naye huyo mgombea aliyekatwa.

Amewakilisha wananchi vilivo,alisemea wananchi shida zetu akajenga hoja ameangukia pua,nahama kwenye siasa sitaki tena siasa za majimoto,husda,vihoja vilivo na hoja zenye vihoja,kwann akatwe mapema jamani,tena wawekwe watu wasiofahamika,hawana mchango unaoonekana hata kidogo,nahama kwenye siasa,ameweka alama ambayo haijathaminika.,kwani nini hiki jamani.

Zaidi ya miaka kumi kawa mwakilishi wa wananchi hata tatu Bora au list hayupo😆😭😭😏😏,nahama lipi lakufia kwa pressure

Majina yamewekwa mimi mpiga kura wengine siwajui,ni limitation ya kuchagua eti Popobawa apite,njia imelainishwa na vilainishi Ili Popobawa asipate kikwazo,mnamjua Popobawa nyie,sitaki siasa nahama kwenda mlengo mwingine

Alisaidia wapiga kura wake kwani nani kamkata,misiba,harusi shida na raha alikuwepo,nani kamkata huko majina yalipotokea.

Hivi wapiga kura wake walishirikishwa au wajumbe wenye malengo binafsi,nahama siasa sitaki siasa

Mjeledi eti ndio mgombea niliyeletewa,nani kawaambia?,huku watu wanaulizana huyu naye nani,nahama siasa sitaki siasa.

Nashindwa kuendelea kuandika pressure ipo juu,siasa jamani siasa heri kilimo kikumbwe na ukame,tumaini la wengi linaweza kugeuzwa na tumaini la wachache-Nahama siasa sitaki tena siasa
Lucas akibubujikwa na machozi huwa mnamcheka. Njoo tuhubiri Injili ya Yesu Kristo au Mtume Mohammed uchaguzi ni wako.
 
Watu mnaowaona wa hovyo wamepitishwa makusudicaly ila hawafiki mbali.

Ni viporo hivyo, watatumiwa kwa namna nyingine wakati ujao.
 
Si walisemaga siasa ndo kila kitu. Sasa pa kuhamia ni wapi?.
 
Back
Top Bottom