Freyzem
JF-Expert Member
- Jun 29, 2013
- 10,053
- 24,446
Hii ni taarifa rasmi ambayo imetolewa na club ya Yanga!
Hili ni pigo jingine kwa Yanga baada ya kuwakosa wachezaji wao tegemezi watatu!
Ikumbukwe kabla ya hili tangazo club ya Yanga tayari ilishakuwa imetangaza viingilio, na wapo wadau ambao tayari walishaanza kuzinunua!
Haya rudisheni hela zao sasa!