Msitari wa pambizo
JF-Expert Member
- Sep 25, 2014
- 3,098
- 5,466
Kwenye mbao za matangazo huwa wanaandika MPYA SOMASio ya mwaka jana kweli haya
Hapana mkuu, pakua hii bado ya motomotoSio ya mwaka jana kweli haya
Tena mapema kabisa, game za kwanza kwanzaMkeka umechanika
PoleniHuu ni uhuni kabisa aiseeee
Dah washkaji zangu wengi wa msingi wamepata
Katika mambo ya kushangaza hili pia linashangazaSasa tangazo la ajira kwa nini liliwataka hata waalim wa Arts shahada watume maombi?
Kuna jamaa yangu alimaliza 2016 ila hakuwa amechukua cheti so ikamtoka laki nzima ya ghafla kufuata chet chuon.
Hata watu wa GS na CIVICS ambao walitajwa kuwa wanahitajika nao hawajakumbukwaKiswahili, history ,English wamepigwa chini kabisa
True maana sio kwa huu ubaguzi. Kila mwaka science. Art wanasota mtaaniTupo katika wakati mgumu sana arts kuna haja ya kuitafakari kwa kina zaidi hii serikali , upinzani siyo chadema wala cuf kwa haya mnayoyafanya kuna kitu mnatangeneza kwenye mioyo ya watu.
Ni ya mwaka huuSio ya mwaka jana kweli haya