Redpanther
JF-Expert Member
- Feb 23, 2019
- 3,040
- 4,291
Alfu hizi ASTASHAHADA, STASHAHADA NA SHAHADA... ! Zikoje zikoje hapo. Degree, diploma na certificate ni ipi hapo..msaada mwenye uelewa??
Alfu hizi ASTASHAHADA, STASHAHADA NA SHAHADA... ! Zikoje zikoje hapo. Degree, diploma na certificate ni ipi hapo..msaada mwenye uelewa??
Ahsanteee sana mkuu...! Uwe na usiku mwema
Jamaa alianza kupost ya mwaka jana sema naona amebadilisha.Sio ya mwaka jana kweli haya
No, hizo ni index namba za form four.Mbona sijaelewa ina maana wameajiri waliomaliza 2012 kurudi nyuma au ?
Sio kweli labda kama list imetoka upya hakuna mwalim wa art au lugha hata mmojaWaliosoma Shahada za masomo ya Kiswahili na English hakuna aliyekosa.. Wote wanaenda kula Keki ya Taiga.
Hii wanaita "imekula kwa tajiri".Sasa tangazo la ajira kwa nini liliwataka hata waalim wa Arts shahada watume maombi?
Kuna jamaa yangu alimaliza 2016 ila hakuwa amechukua cheti so ikamtoka laki nzima ya ghafla kufuata chet chuon.
Sasa tangazo la ajira kwa nini liliwataka hata waalim wa Arts shahada watume maombi?
Kuna jamaa yangu alimaliza 2016 ila hakuwa amechukua cheti so ikamtoka laki nzima ya ghafla kufuata chet chuon.
sasa hata kuchukua cheti unaleta lawama??nayo ni kazi ya magufuli hiyo?[emoji23][emoji23]wabongo bhana,mtu unamaliza chuo halafu huchukui cheti,sasa ulienda kufanya nini chuoni? Nonsense kabisa!Sasa tangazo la ajira kwa nini liliwataka hata waalim wa Arts shahada watume maombi?
Kuna jamaa yangu alimaliza 2016 ila hakuwa amechukua cheti so ikamtoka laki nzima ya ghafla kufuata chet chuon.
Mkuu mbona walimu wa arts wamepata pia History,Kiswahili n.k