Mpalakugenda
JF-Expert Member
- Jun 2, 2015
- 4,649
- 5,074
huko lake zone mbona kuna wabunge wa vyama vya upinzani mkuu?Mondulı???Mnataka watu washndane kwa misingi kwamba mgombea anatoka upande wetu sio??Karıbia nusu ya Watanzani wanapatika LAKE ZONE.Shaurı yenu na mambo yenu na ubinafsı wenu.