tc_edo
Senior Member
- Apr 9, 2021
- 123
- 98
Sergio Kun Aguero amekamilisha usajili wake kujiunga na FC Barcelona baada ya kumaliza vipimo vya afya hivi leo, jumatatu 31 2021. Aguero (32) amesaini mkataba wa miaka miwili ukiwa na kipengele cha kumwachia endapo timu inayomtaka au yeye mwenyewe italipa/atalipa Euro Million 100 (€100) kabla ya mkabata kuisha. Atajiunga rasmi tarehe 1 July 2021.
Manchester City wamemshukuru Aguero wakisema, " Kila mtu katika klabu yetu ( Manchester City) anapenda kuchukua nafasi hii kutoa shukrani kwa Aguero , kwa mchango wake mkubwa hasa mafanikio katika klabu ndani ya miaka yote 10 hivyo nasi tunamtakia kila la kheri."
Aguero anajiunga na rafiki yake mkubwa, Lionel Messi . Ageuro amefunga magoli 260 kati ya mechi 389 ndani ya miaka 10.
Manchester City wamemshukuru Aguero wakisema, " Kila mtu katika klabu yetu ( Manchester City) anapenda kuchukua nafasi hii kutoa shukrani kwa Aguero , kwa mchango wake mkubwa hasa mafanikio katika klabu ndani ya miaka yote 10 hivyo nasi tunamtakia kila la kheri."
Aguero anajiunga na rafiki yake mkubwa, Lionel Messi . Ageuro amefunga magoli 260 kati ya mechi 389 ndani ya miaka 10.