Lord Delamere in Kenya
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 5,278
- 10,276
Una akili timamu unashabikia timu ya serikali?Hala madrid
Una akili timamu unashabikia timu ya serikali?Hala madrid
Duuh uko serious au unataniaHata tukimpata SUZUKI wa pale PARMA anatutosha
Kuna 'mens' wametolewa na hao hao boyz huko uefaUEFA for mens not boyz
Lautaro, dembele, raphinha
Hawanaga usharobaro wazee wa kazi kazi Kipa tukimpata martinez itakuwa bomba
Kwa nini masterUna akili timamu unashabikia timu ya serikali?
Chochote cha serikali huwa sikiungi mkono, maana najua mafanikio yake yako kwa kubebwa bebwa tu. Kwa asili, Real Madrid ni timu ya Mfalme wa Spain, ila Barcelona ni timu ya wanaharakati wapinga dhulma.Kwa nini master