Rangi ya ngozi kubadilika baada ya kuneemeka kidogo

manumbu1

JF-Expert Member
Jul 4, 2012
713
403
Ndugu wana jamvi napenda kujua ni kwa nini sisi watu wa rangi nyeusi (wabantu) zikitutembelea kidogo (neema) tunabadilika rangi kutoka weusi kuwa weupe (light skin).

Je tuna asili ya kinyonga? Wenzetu wazungu shida na dhiki ikiwafika wanageuka kutoka weupe kuwa wekundu hawawi weusi.

Mfano hebu mwangalieni Obama na Mkewe. Wametoka jumba jeupe utadhania ni wazungu hali walipoingia walikuwa nyeusi tii kama vile Wametoka Kisumu leo yake. Haya ni maono yangu naomba waelewa wanijuze.
 
Obviously inaonesha matunzo ndo hubadilisha ngozi na sio wote wanaong'aa wanatumia mikorogo.Ngozi ya mzungu ibadilike vipi kuwa nyeusi! Ile ni ngozi eti haiwezi badilika kuwa nyeusi hata kwa shida zipi maana hata mweusi akijichubuaa anakuwa mweupe Lakini hawi mzungu
 
Pesa sabuni ya roho..
Na hali ya hewa ya mikoa flani mf Dar lazma utakate.,
 
Sisi wanaAdamu tuna ngozi tabaka saba (7) !!
inaanzia tumboni uzazi hadi siku kudead kwako!

ma kila awamu na hubadili...!!

just shukuru Mungu. na usijichunguze sana !!
 
Ukishayapatia maisha hauhitaji mkorogo ili unawiri.
Pesa ni sabuni ya roho mpaka ngozi.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom