Dr Lizzy
Platinum Member
- May 25, 2009
- 30,821
- 59,425
Hicho kipande...mmmh......kinahuuuuu......lol.
Unakubali??Unakataa?!
Hicho kipande...mmmh......kinahuuuuu......lol.
Unakubali??Unakataa?!
mkuu wafanyie mpango wa viza ze finest na uporoto basi, jamaa wamepigika mbaya sana na vumbi la Manzese, maisha yanaweza yakasababisha jamaa wakakanusha uwepo wa Mungu.Aah kama kuna sijui raisi wa masharobaro…sijui raisi wa wasafi…..sijui raisi wa nini nini……na sisi wabeba maboksi je? Nikaonelea hakuna ubaya kuwawakilisha kina wenzangu na miye istahilivyo.
Hahhahaha.....unataka kufa tu wewe...embu jipumzikie maana best before date yako imeshapita!!!dah! nyundo 52? Nikigonga hapo ndio natangaza ufataki rasmi. hivi vikina Lizzy sjui Husninyo naangusha tu.
mkuu wafanyie mpango wa viza ze finest na uporoto basi, jamaa wamepigika mbaya sana na vumbi la Manzese, maisha yanaweza yakasababisha jamaa wakakanusha uwepo wa Mungu.
Oraiiit!!Bila kusita, bila pingamizi, bila ubishi nakubali kwa asilimia mia na kumi!!
Oraiiit!!
Kwahiyo kwenye haya makundi yote we huangukii hata moja??:
mnh i hate you mtoa mada with all my heart!
mnh i hate you mtoa mada with all my heart!
Mii naangukia kwenye kundi la kupigwa madongo. Hujaambiwa bado ukae mbali na mimi?
Deep down in your heart of hearts you know you love me but you just can't bring yourself to admitting it.
Mmh kwanini wanakupiga madongo???!Jichunguze labda kiatu chako kinang‘aa sana upunguze kiwi!!!
Bado sijaambiwa...ngoja nianze na mimi kukudongea!
Yes the truth is I LOVE YOU!
Mchunguzi anajichunguzaje vile?
Simple....simama mbele ya kioo alafu ujiangalie juu mpaka chini huku ukitafakari unachokiona critically!!Mwisho jiangalie machoni......utajua tu kama umezidi kwa mbwembwe au roho zao mbaya tu zinawasumbua!!
Thank you ever so much! I love you more.
i dont like you na sina haja ya kuingia na ID nyengine na kusema haya kama unavyofanya......
Ni roho zao tu ndo zenye kutu.