Huyo ndio mwanamme mwenye uzuri? ulimuangalia wakati una ngunga nini?
Mbona hata masogange naye andunje na reception zero.
Hapo unakula mzigo huku unaangalia pembeni
Mtoto kaumbikaa hurreeeeeeeee
Ila huyu kaka katulia sana sijawahi sikia anamahusiano na mtu
Huyu ni kidume wa pili sio yule wa kwanza wa pili ndo alikua anajilia
Mhhhhh!!!
HUjawahi kusikia nn? HUyu jamaa malaya kiama, juzi tu katoka kuchambwa kule insta na tabia yake ya umalaya, anawaita wadada uko kijijin anawadanganya atawachezesha movie, anawap script akishawafanya tu haonekan anakutosa, jamaa ana sura ya upole ila ni chui huyo hafai
atakua na kibamia halaf wanaume wazuri huongoza kwa vibamia
Hapo unakula mzigo huku unaangalia pembeni
Utamu ninao mwenyewe ila lazima kuwe na kisababishi cha kuutengenezaKwani utamu upo wapi?
Utamu unao mwenyewe ndio maana hata kwenye ayu unaukuta
Waguna nini sasa!
Utamu ninao mwenyewe ila lazima kuwe na kisababishi cha kuutengeneza
Nilidhani kisababishi ni mayai yako mawili...nasikia nyie hata kuku mnamwangukia na utamu mnaupata vilevile.
Sasa ngeye gani mpaka kuku,hapo hakuna aliyesalama hujui kazi za wale vimbwa vidogo nini wa vidada vya mjini!
Ishu kupata tu muwashawasha
Ha ha ha!
Unamaanisha kina swiss wana kazi yao?
Ndio maana nakwambia utamu unao mwenyewe hapo nyuma ya pc yako.Yani ukifumba macho na kuvuta hisia kwisha habare yako.
Utaona kuwa vingine ni kachumbari tuu
Wewe nae hujanielewa, bado hujaiva kiumbea...wambea wazoefu wameshajua namaanisha nini...lol
Yani nimekuelewa ila ww humanielewa shogaa