Complex Minder
JF-Expert Member
- Dec 11, 2014
- 534
- 160
Mara nyingi mwanaume huyu mwenye uzuri unaofanya watu waombe hata kuzaa nae huko Insta hamjawah kumsikia ana mahusiano yoyote ila hivi karibuni imebainika anamahusiano na aliekua video queen wa (nje ya box) yake Joh Makini
Mwanadada huyo mwenye mvuto wa kutosha na shepu matata ajulikanae kama Halima amedumu katika uhusiano huo kwa miaka miwili na mwanandani wake huyo Rammy Galis.
Wasiomjua kijana huyu ni Bongo Movie aliecheza vizuri katika 'Chausiku', Zakayo iliyopo sokoni, na nyingine nyingi..
Mwanadada huyo mwenye mvuto wa kutosha na shepu matata ajulikanae kama Halima amedumu katika uhusiano huo kwa miaka miwili na mwanandani wake huyo Rammy Galis.
Wasiomjua kijana huyu ni Bongo Movie aliecheza vizuri katika 'Chausiku', Zakayo iliyopo sokoni, na nyingine nyingi..