warumi
R I P
- May 6, 2013
- 16,213
- 18,455
Halafu mm namfikiriaga vibaya akijisifia ngoja tusubiri yatakuja mengi
Nilisiakiag wanafanyag mchezo mbay na hemedy, sijui ilikuwaje nikikumbuka ntakwambia
Halafu mm namfikiriaga vibaya akijisifia ngoja tusubiri yatakuja mengi
Nilisiakiag wanafanyag mchezo mbay na hemedy, sijui ilikuwaje nikikumbuka ntakwambia
Naona mods wamefuta comments zake, tena apigwe ban ya mwezi mzima au zaidi.
Hafai kuwepo katika jamii ya watu kama hivi.
Nakuombea ukumbuke halafu huyo demu alikua anatoka na tinomuya cjui ilishia wapi pia alitembea na mtoto wa raisi sijui iliishia wap
Nakuombea ukumbuke halafu huyo demu alikua anatoka na tinomuya cjui ilishia wapi pia alitembea na mtoto wa raisi sijui iliishia wap
TIno nae kawabokoa bongo movie yule
Aisee huyo wa pili kuna mwanamke ambaye hajampitia hapa mjini kweli? (mastar)....maana ni balaa!
Aisee huyo mwanamke ana shepu balaa,ila usoni anaogopesha
Watu wanamuomba azae nao?kisa uzuri???mhhhhh!!!haya makubwa
Aisee huyo mwanamke ana shepu balaa,ila usoni anaogopesha
Umeona eeh? Ana sura nzito kama fenesi aisehh, sura hana kwa kwel
Mungu akupi vyote alimuonea huruma akampa shep
Huyo angekuwa na uso na hiyo figure angekimbiza mbaya.
Hivi huyu na masongange huo mzigo wa nyuma nani kafunikwa
Genye tu izo zinawasumbua, wakishasuguliwa uko chin wanakimbilia kutoa mimba mxiuu
Umenena binamu.Kwanza huyo mkaka naona anaforce kuigiza nilimuona kwenye chausiku yani hajui kabisa kuigiza
Umenena binamu.Kwanza huyo mkaka naona anaforce kuigiza nilimuona kwenye chausiku yani hajui kabisa kuigiza
Wako sawa tu ila huyu mfupi cjui