Ramani ya jengo jipya ubungo terminal bus

Ramani ya jengo jipya ubungo terminal bus

BVR 2015

JF-Expert Member
Joined
Jul 29, 2015
Posts
447
Reaction score
979
Hii ramani chini ni mchoro wa jengo jipya ambalo litajengwa ilipo sasa stendi ya mabasi ya mkoani ubungo,kampuni ya kichina kama kawqida imeandaa huu mchoro na itajenga ilo jengo
IMG-20181122-WA0055.jpeg
IMG-20181122-WA0053.jpeg
 
Heeh! Chadema tena, hii terminal si walisema itahamishiwa Mbezi?
Duh, tuna safari ndefu sana wabongo! Hivi ukiwa na mpango wa kulima nyanya, huwezi badilisha mpango huo na kuanza kulima vitunguu??
 
Watanzania kwa kurupuka? Kwani mtoa mada kasema inajengwa stendi mpya? Kasema jengo litajengwa ilipo stendi ya ubungo.

Jii inamaana stendi ya ubungo itakuwa Mbezi mwisho, sehemu iliyopo stendi ya sasa ubungo, litajengwa hili jengo. Uwezekano mkubwa itakuwa Mall.
 
Ramani iko wapi hapo mkuu,maana naona 3d 's ya jengo na barabara
 
Nye watu bana wababaishaji sana. Juzi tu mlituletea michoro kwamba kutakuwa center kubwa ya Biashara Afrika .. Sijui watu watatoka Nairobi, Kigali, Bujumbura kuja kununua hapo.. leo vipi tena?
 
Source ya habarii yako mkuu please[/QUOTEsource ni mimi mwenyewe baada ya kuonana na wahusika ambao wameandaa hii ramani. Hii ramani ni robot mashine.Ukitaka kwenda kuiona ipo pale katika jengo la ubungo plaza wameiweka ile sehemu ya kuingia kwenye lifti.Ukiingia utakutana na wahusika wa huu mradi Unaruhusiwa kuuliza maswali pia wanakaribisha maombi ya wale wanaoitaji kuasanifiwa ofisi au majengo yao.Ukienda pale utasitaajabu jinsi wachina walivyopiga hatua kwenye upande wa sayansi wametuacha mbali sana.
 
Back
Top Bottom