BVR 2015
JF-Expert Member
- Jul 29, 2015
- 447
- 980
- Thread starter
- #21
Nenda katika jengo la ubungo plaza ukashuhudie mwenyewe,picha nimepiga na simu ya ItelNye watu bana wababaishaji sana. Juzi tu mlituletea michoro kwamba kutakuwa center kubwa ya Biashara Afrika .. Sijui watu watatoka Nairobi, Kigali, Bujumbura kuja kununua hapo.. leo vipi tena?