Ramani Ya Helligoland Treaty: Ziwa Nyasa Lote Liko Malawi

Mkataba wa Germany na UK ndio utafuatwa ikiwa hili tatizo lita malizwa kwa njia ya amani. La sivyo Kenya pia watakua na haki ya kudai mlima Kilimanjaro sababu ukiona mpaka umepindishwa ki makusudi kuuweka mlima ndani ya Tanganyika
Soma ramani vizuri. Usingepindishwa pale Kilimanjaro Mombasa na Lamu yote ingekuwa Tanganyika!
 
kwa mara ya kwanza ilichapishwa na gazeti la Mwananchi mwanzoni mwa mwezi september kufuatia mahojiano maalumu na rais Kikwete naye bila kumung'unya maneno alisema ziwa ni mali ya Mawali ila wanaomba busara itumike katika kuweka mpaka mpya kufuatana na sheria za umoja wa mataifa kwamba nchi mbili zinazotenganishwa na maji basi mpaka wake utakuwa katikati ya maji hayo.

Serikali ya uingereza hata baada ya kutawala malawi na tanganyika walikataa kurekebisha mpaka wa nchi hizi mbili lakini wakarekebisha mpaka kati ya msumbiji na malawi. na baada ya uhuru maneno ya Mwl. JK Nyerere 1963 akihutubia OAU alisema ili kulinda amani ya africa basi yazipasa nchi zote kuheshimu mipaka iliyogawiwa na wakoloni. Na malawi wanatumia hii kama fimbo ya kutupigia watz.

Hata kama tukibisha huu ndio ukweli kwamba ziwa nyasa tunalitumia kwa nguvu na ubabe tu ila sio mali yetu kama tulivyoaminishwa tangu zamani

Acha uhuni, wamanchi waliozaliwa na wanaokaa maeneo ya pembezoni mwa Ziwa Nyasa wana haki zote, za kidunia na za ki imani kutumia ziwa lile! light kama ziwa lingekuwa katikati ya nchi sawa, pembezoni mwa mpaka, hii kauli yako ni kichekesho kama ya Wamalawi!
 
What was unusual about the Heligoland Treaty?
The most Euro-centric aspect of this treaty was that Queen Victoria insisted that her grandson, the German Kaiser Wilhelm II, be given a mountain in Africa - Britain had two, Germany had none. So the border from Lake Victoria to the coast has a kink in it, putting Mt. Kilimanjaro in German East Africa (now Tanzania).
 
Time will tell. Treaty ya Zanzibar-Heligo, na makubaliano ya Berlin Conference hayagawi ziwa lile kwa upande wowote; ningeshukuru sana kama ungeleta na articles za Berlin Conference Accord alongside hiyo Zanzibar-Heligoland treaty.
Usisumbuke sana ,hii mikataba waliifanya wazungu bila kushirikisha wazawa kwa sababu hatukuwa na serikali wakti huo ,Sasa ndio muda wa kurevew huo mkataba kulingana na uhalisia wa nchi zenyewe.Tutafika pazuri tu.
 
Mimi siioni Malawi ikitajwa hapa

The Heligoland–Zanzibar Treaty (German: Helgoland-Sansibar-Vertrag) of 1 July 1890 (also known as the Anglo-German Agreement of 1890) was an agreement between Great Britain and Germany concerning mainly territorial interests in Africa. Germany gained a strategic small island near its main seaports and gave up control of its Zanzibar colony.

Terms



Germany gained the islands of Heligoland (German: Helgoland) in the North Sea, originally part of Danish Holstein-Gottorp but since 1814 a British possession, the so-called Caprivi Strip (chieftainship of the Fwe people in what is now Namibia), and a free hand to control and acquire the coast of Dar es Salaam that would form the core of German East Africa (later Tanganyika, now the mainland component of Tanzania).In exchange, Germany handed over to Britain the protectorate over the small sultanate of Wituland (Deutsch-Witu, on the Kenyan coast) and parts of East Africa vital for the British to build a railway to Lake Victoria, and pledged not to interfere with British actions vis-à-vis the Sultanate of Zanzibar (i.e. the islands of Unguja and Pemba). In addition, the treaty established the German sphere of interest in German South-West Africa (present-day Namibia) and settled the borders between German Togoland and the British Gold Coast (now Ghana), as well as between German Kamerun (now Cameroon) and British Nigeria.

Consequences



Britain divested itself of an outlying island difficult to defend in the case of armed confrontations. It immediately declared a protectorate over Zanzibar and, in the subsequent 1896 Anglo-Zanzibar War, gained full control of the sultanate.The treaty served German chancellor Leo von Caprivi's aims for a settlement with the British. After the 1884 Berlin Conference, Germany had already lost the "Scramble for Africa": the German East Africa Company under Karl Peters had acquired a strip of land on the Tanganyikan coast (leading to the 1888 Abushiri Revolt), but it had never had any control over the islands of the Zanzibar sultanate and so the Germans gave away no vital interest. In return they acquired Heligoland, strategically placed for control over the German Bight, which with the construction of the Kiel Canal from 1887 onwards had become essential to Emperor Wilhelm's II plans for expansion of the Imperial Navy. Wilhelm's naval policies aborted an accommodation with the British and ultimately led to a rapprochement between the UK and France, sealed with the Entente cordiale in 1904.The misleading name for the treaty was introduced by ex-Chancellor Otto von Bismarck, who intended to attack his despised successor Caprivi for concluding an agreement that Bismarck himself had arranged during his incumbency. However, Bismarck's nomenclature implied that Germany had swapped an African empire for tiny Heligoland ("trousers for a button"). This was eagerly adopted by imperialists, who complained about treason against German interests. Karl Peters and Alfred Hugenberg appealed for the foundation of the Alldeutscher Verband which took place in 1891.
 
mkuu tunakushukuru kwa kuleta hii ramani ,tuliongelea bila ya vielelezo sasa tunavyo ,nini kifanyika watu walio na ziwa hili wameonja utamu wa samaki wanaopatikana pale leo ghafla uwaambie msiguse ,hapa maelewano yawepo maji ya malawi samaki tutakula wote ,kuoga tutaoga wote shughuli zetu ziendelee maadam hakuna kuvunja taratibu na sheria watakazojiwekea
 
Jamani haiwezekni nchimoja ichukue maji yote halafu wananchi wa nchi jirani wasipatemaji hivyo wakitaka maji waende kununua njeyanchi haiwezekeni hata ukimuuliza mtoto mdogo nilazima maji tugwane katikati w0te tunywemaji kwani wamewekwa na m/mungu hayakuwekwa na wamalawi unanisoma mtoa mada?.

Mambo gani ya kunyimana maji bana!!!!! wengine huku ukiyabania maji every where hakuna amani....hasa hasa yale ya KATERERO.............for BUTEKI ( Buhaya Tekinology)
 
Treaty of 1890 between Great Britain and Germany concerning the border. A wrinkle in this dispute occurred when the British colonial government, just after they had captured Tanganyika from Germany, placed all of the waters of the lake under a single jurisdiction, that of the territory of Nyasaland, without a separate administration for the Tanganyikan portion of the surface. Later in colonial times two jurisdictions were established.[12] In 1954 an agreement was signed between the British and the Portuguese making the middle of the lake their boundary with the exception of Chisamulo Island and Lokoma Island which were kept by the British and are now part of Malawi.
Hebu tuambie na source maana infurahisha.
 
Mkataba wa Germany na UK ndio utafuatwa ikiwa hili tatizo lita malizwa kwa njia ya amani. La sivyo Kenya pia watakua na haki ya kudai mlima Kilimanjaro sababu ukiona mpaka umepindishwa ki makusudi kuuweka mlima ndani ya Tanganyika

Ulitolewa kama zawadi ya kuzaliwa kwa malkia.
 
CHANGANYA NA ZAKO. Mbona husemi kwa mujibu wa hiyo ramani yako BURUNDI NA RWANDA ZIPO TANZANIA?

Hiyo ramani ni ya Germany East Africa ikihusisha Tanganyika, ufaulme wa Rwanda na Urundi. na si ya Tanzania au Tanganyika kama unavyotaka tuamini
 
attachment.php


Msije mkasema mimi ninakinyongo na msimamo wa serikali. Nimeona ramani hii inayoonyesha mipaka ya ziwa nyasa. Sasa nashindwa kujua ugumu unatokea wapi wakati kumbe mambo yako wazi kabisa.

Imetoka blog ya Mjengwa
Hii ni rtamani au mchoro?
 
Mkuu, unataka kutuambia enzi hizo mitambo ya uchapaji ilikuwa haijagunduliwa? Maana kwa uelewa wangu hadi kufikia miaka hiyo kumbukumbu muhimu zilikuwa zikichapwa na kuhifadhiwa katika vitabu na si kuandikwa kwa mkono kama unavyotaka kutuamionisha.
 
ungeweka na hiyo treaty yenyewe inayotambua hivyo na saini zilizopigwa kuitambulisha ramani. Vinginevyo hata na wewe unaweza chora yako safari hii ziwa nyasa uliweke tanzania halafu umwambie huyo mjengwa hiyo nayo ni ramani inayotambulika na helligoland treaty aibandike kwenye blog yake.

hapa panaitwa the home of great thinkers
 
Sasa wewe kama ulipata digrii yako kwa kupitia huko facebook sijui, lakini hebu jaribu kujenga hoja na siyo kukimbilia kusikokuwa nayo.

Jaribu kufanya analysis kijana nina wasiwasi na hilo jina lango hata huo ubongo wako umejaa mafuta. Punguza kula vyakula vya mafuta ubongo uweze kufanya kazi vizuri. Hint: Ongeza Omega 3 au kula samaki kwa wingi labda utaactivate huo ubongo wako.

Sisi hatuzungumzii Northern Rhodesia hapa tunazungumzia ramani ya karne hiyo ambayo ndiyo wamalawi wanajengea hoja. Hatuzungumziii kwamba ilikuwa sahihi au la kwa kipindi kile.
........silumbani mm, kama uelewa wako umegota, hiyo siyo shauri yangu, umeacha ya msingi umechukua ya kijinga.......
 
Msiachie tu ziwa nyasa, bali hata ziwa tanganyika wapeni warundi, warwanda na wacongo na ziwa nyanza wapeni wakenya na waganda! Heligoland treaty au hell treaty, kwani babu zetu waliingia huo mkataba! :A S angry:
 
ivi ramani ndio inakuaga ivi ??? ... mbona haina kichwa wala miguuu....nani kachora hii ...he/she must be STD 3
 
Back
Top Bottom