Ramani Mpya ya Afrika

Zack Abdul

JF-Expert Member
Joined
Mar 9, 2026
Posts
755
Reaction score
675
🌍 Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa limepitisha pendekezo la Afrika la kuwa na ramani mpya ya dunia inayoonesha uhalisia wa ukubwa wa maeneo.

🟒 Waliounga mkono: 164
πŸ”΄ Waliopinga: 1
βšͺ Waliojizuia kupiga kura: 6
πŸ“… 4 Septemba 2026
 
Suala ni kuwa na ramani ya dunia ambayo ina ukubwa halisi wa bara la Afrika na nyingine pia.
Ramani inayotumika kwa sasa ilitengenezwa karne ya 16, inaonyesha nchi zilizo karibu na Ikweta kuwa na ukubwa mdogo wakati zile zilizoko kwenye ncha ya kaskazini na kuzini zikionekana kubwa zaidi, Mfano: Greenland inaonekana kuwa na ukubwa sawa na bara la Afrika ingawa Afrika ni kubwa mara 14 kuliko Greenland.
 
We don't mean to brag, we are the greatest!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…