Teko Modise
JF-Expert Member
- May 20, 2017
- 1,968
- 6,137
Huyu jamaa ukimsikiliza kwa makini utagundua ana madini mengi sana.
Anachambua mpira kwa data, uhalisia na ukweli. Huwa namfatilia sana kila jumapili pale AzamTv kupitia kipindi cha Sports AM chini ya Mahamoud Bin Zubery.
Haya yaliyotokea jana kwa Simba, Azam na Yanga alishayaongea toka ratiba imepangwa.
Aliichambua game ya kwanza ya Yanga dhidi ya Al Hilal kidha akachambua game ya marudiano itakavyokuwa namna Al Hilal performance yao wakiwa nyumbani, rekodi ya mechi zao nk.
Jamaa hana mihemko, utamchukia bure lakini ndio ukweli atakuchambulia kuhusu timu yako.
Hongera sana Mbwaduke, naona kwasasa umechukua nafasi ya Ali Mayai kwenye uchambuzi wa mechi za NBC PL piga kazi kaka!
Anachambua mpira kwa data, uhalisia na ukweli. Huwa namfatilia sana kila jumapili pale AzamTv kupitia kipindi cha Sports AM chini ya Mahamoud Bin Zubery.
Haya yaliyotokea jana kwa Simba, Azam na Yanga alishayaongea toka ratiba imepangwa.
Aliichambua game ya kwanza ya Yanga dhidi ya Al Hilal kidha akachambua game ya marudiano itakavyokuwa namna Al Hilal performance yao wakiwa nyumbani, rekodi ya mechi zao nk.
Jamaa hana mihemko, utamchukia bure lakini ndio ukweli atakuchambulia kuhusu timu yako.
Hongera sana Mbwaduke, naona kwasasa umechukua nafasi ya Ali Mayai kwenye uchambuzi wa mechi za NBC PL piga kazi kaka!