Ramadhan Kareem

farkhina

Platinum Member
Mar 14, 2012
14,568
16,906
8e1f2ca5dddadf87104e8a246a2c6dbd.jpg
3832116be6d6a6b010986ac3db8769a5.jpg
 
Hiviii naomba kuuliza......


Waliozoea kuandika maneno ambavyo sio maadili humu mwezi huu pia wataacha kuandika hadi wamalizie zile 6?

Kama ndivyo, inamaana JF itapoa kama wanavosemaga biashara baadhi baadhi zinadoda kipindi hiki cha mwezi wa Ramadan?

Au watafunga kwa ID zao halisi na kuendelea kwa ID mchepuko?
 
  • Thanks
Reactions: SDG
Shaharu ramadhan lladhy unzila fihi lqur an hudda linnas wabaiyinat Mina lhuda walfurqaan laa lakkunm tataquun
Wakuu naomba muisome na kuisiliza qur an iliyeremshwa mwez huu mtukufu kwan ina uongofu ndan yake ili tupate kuwa wachamungu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom