Shomari
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 1,112
- 241
siye pumzi tulishampa siku nyingiiiiiiiiiiiii! twamuangalia tu kikomo chake cha hizo mashine anazopumulia kukoma!
Urais ni kazi ngumu dada yangu. usikute hapo alipo anaomba miaka iliyobaki iende haraka ili 2015 ifike