Gosheni
Senior Member
- Oct 28, 2008
- 199
- 138
Ikiwa mara ya kwanza tangu awe raisi wa taifa kubwa kiumbo, kubwa kiuchumi kuliko zote dunia, kubwa kijeshi, raisi Obama jana alihutbia press conference. katika press conference hiyo Obama alizungumzia kuhusu umuhimu wa nchi ya marekani kuangalia njia mbadala wa matumizi ya nishati nyingine tofauti na hii iliyopo sasa, kwa kufanya hivyo itapunguza gharama za maisha, na pia kutengeneza ajira mpya namba nimesahau, vilevile kusaidia kuhusiana na maswala ya mazingira, ukizingatia mambo ya ozone layer.
Cha ajabu, waandishi walizoea baada ya hotuba kinachofuata ni maswali, badala yake mjamaa, alikwenda akasaini vitabu vitatu, waheshimiwa mtatueleza vinahusiana na nini.
Swali jee! kunauwezekano Obama ameanza mambo ya viongozi wa Afrika hivyo kukimbia maswali, kwani iwapo angeruhusu maswali, kunauwezekano wangembana, hivyo kuonyesha uzaifu wa mpango huo. sababu mradi huu yeye siyo wa kwanza kuzungumzia, kwani tangu miaka ya 70's raisi Richard Nixon alikuwa mtu wa kwanza kuzungumzia hilo hivyo kufuata maraisi wote wa marekani, na hakuna hata mmoja ambaye ameisha wahi kutekeleza.
Naomba kuwakilisha
Cha ajabu, waandishi walizoea baada ya hotuba kinachofuata ni maswali, badala yake mjamaa, alikwenda akasaini vitabu vitatu, waheshimiwa mtatueleza vinahusiana na nini.
Swali jee! kunauwezekano Obama ameanza mambo ya viongozi wa Afrika hivyo kukimbia maswali, kwani iwapo angeruhusu maswali, kunauwezekano wangembana, hivyo kuonyesha uzaifu wa mpango huo. sababu mradi huu yeye siyo wa kwanza kuzungumzia, kwani tangu miaka ya 70's raisi Richard Nixon alikuwa mtu wa kwanza kuzungumzia hilo hivyo kufuata maraisi wote wa marekani, na hakuna hata mmoja ambaye ameisha wahi kutekeleza.
Naomba kuwakilisha