Raisi Magufuli avunja rekodi. Awafunika watangulizi wake wote ndani ya muda mfupi!

Wakati wa Kikwete kulikuwa na raha sana ya kuishi Tanzania.

Awamu hii ya tano unga wa mahindi umefikia kilo shillingi 800 na Magufuli alipoingia ulikuwa 1400. Ni hatua kubwa sana. Sema vyuma vimekaza.
Nenda kwa wakulima kawaambie maneno haya kama hujatoka na ngeu! Wakulima wanalia kilimo hakina faida wewe unashangilia!

Halafu kushuka kwa bei ya mazao inategemea uzalishaji wake ambao mwaka Jana ulikuwa mkubwa sana
Sent using Jamii Forums mobile app
 
yeye anakwambia kwa jinsi anavyo chapa kazi kawafunika awamu zote 1-4 hahaahhahahaha

naona alikuwa anazungumzia alivyo lipaisha deni la taifa amewazidi wote.

Anakwambia ni makusanyo ya ndani deni linapaa tu (anakopa mlango wa nyuma kujinufaisha kijanja)
 
Weka kwa dolar kwa madafu hauwezi kulinganisha hivyo, ukiweka kwa dolar unaweza kuta watangulizi wake waliacha deni kubwa kuliko la JPM.


Kumbe unafahamu halafu unajifanya hujui? Kama shilingi itakuwa imepanda dhidi ya dola basi hongera zake.

Kama imeshuka dhidi ya dola, unadhani uchumi unapaa au unaporomoka?
 
Huyu baba sio mzima ila akisikia Lissu anahutubia mahari lazima atafute kitu cha kuzindua hata choo atazindua
 
Deni linazidi kuongezeka na maisha yanazidi kua magumu alafu tunahimizwa tuwe wazalendo!!!ukweli kabisa naamini huyu mtu hayuko kwaajili ya wanyonge kama tunavyodanganywa.
 
umeamua kuandika kinyume nyume, CHADEMA mna matatizo sana
We jamaa unakumbukaga nilikuomba kazi miaka hiyooo...ukaniahidi kunipa kukawa kimya...dah maisha yanaenda kasi..nashukuru lakini kwa mwitikio wako.Mungu kaniwezesha saaana.....

Ila bado hujaacha unafki wa kuipenda sisiemu???
Dah ila we jamaa bana


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Deni linazidi kuongezeka na maisha yanazidi kua magumu alafu tunahimizwa tuwe wazalendo!!!ukweli kabisa naamini huyu mtu hayuko kwaajili ya wanyonge kama tunavyodanganywa.

Tembea vifua mbere.. wi a on ze rait tirak
 

Korosho, vitambulisho, standard gauge, dreamliner/bombardier/airbus, stieglers gorge.. Humu lazima kuna ulaji
 
INGEPENDEZA kama ungeuliza pia deni hilo limetumikaje?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
kwa hisabati ya milinganyo:
Miaka 3=21.8
miaka 10=?

(10×21.8) ÷ 3= 72.7

Kwahiyo mpaka anatoka (kama atatawala miaka 10) atakuwa ameongeza deni la trilioni 72.7 +deni alilokuta trilioni 40 jumla trilioni 112.7
Nani atamkopesha hela zote hizo .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…