gemmanuel265
JF-Expert Member
- Feb 16, 2016
- 8,485
- 18,045
Nenda kwa wakulima kawaambie maneno haya kama hujatoka na ngeu! Wakulima wanalia kilimo hakina faida wewe unashangilia!Wakati wa Kikwete kulikuwa na raha sana ya kuishi Tanzania.
Awamu hii ya tano unga wa mahindi umefikia kilo shillingi 800 na Magufuli alipoingia ulikuwa 1400. Ni hatua kubwa sana. Sema vyuma vimekaza.
Halafu kushuka kwa bei ya mazao inategemea uzalishaji wake ambao mwaka Jana ulikuwa mkubwa sana
Sent using Jamii Forums mobile app