swissme
JF-Expert Member
- Aug 15, 2013
- 13,662
- 19,880
Naona unamu-underestimate sana Magufuli.. the guy can speak English. Usije na story za mtaani huku huna proof.
Nimefanya kazi na Mh;Magufuri kutengeneza barabara ya kibiti hadi na kila akitaka kuongea na wale wachina inakuwa ngumu hadi tulikuwa tunamsaidia maneno mengine mf.way house's na mambo mengi.
swissme