pipikijiti
JF-Expert Member
- Apr 25, 2017
- 309
- 406
Ni kati ya stori zinazotrend sana kwenye anga za kimataifa tutatizama kiufupi hapa
Raisi wa zamani wa georgia hon.Mikheil Saakashvili alikamatwa na polisi nchini Ukraine ambapo amekuwa akiishi humo miaka ya sasa
Bwana saakashvili anatuhumiwa kusaidia kikundi cha ugaidi nchini humo lakini ifahamike bwana saakashvili amekuwa mkosoaji mkubwa wa raisi sasa wa nchi hiyo
Polisi wajaribu kumuingiza kweenye gari ambapo mamia ya wananchi wakajitokeza kumsaidia na kymuondoa mikoni mwa polisi
Baada kutoka mikonini mwapolisi akiwa na pingu mkono mmoja
http://www.jamiiforums.com/mobile-gallery/fb2f1abb51427b1890205e85c5b24f79.jpg[/IMG
Akiongea na wananchi na waliomtoa mikononi mwa polisi
[IMG]http://www.jamiiforums.com/mobile-gallery/cdba248427d78abff12367a2c85b3d70.jpg
Raisi wa zamani wa georgia hon.Mikheil Saakashvili alikamatwa na polisi nchini Ukraine ambapo amekuwa akiishi humo miaka ya sasa
Bwana saakashvili anatuhumiwa kusaidia kikundi cha ugaidi nchini humo lakini ifahamike bwana saakashvili amekuwa mkosoaji mkubwa wa raisi sasa wa nchi hiyo
Polisi wajaribu kumuingiza kweenye gari ambapo mamia ya wananchi wakajitokeza kumsaidia na kymuondoa mikoni mwa polisi
Baada kutoka mikonini mwapolisi akiwa na pingu mkono mmoja
http://www.jamiiforums.com/mobile-gallery/fb2f1abb51427b1890205e85c5b24f79.jpg[/IMG
Akiongea na wananchi na waliomtoa mikononi mwa polisi
[IMG]http://www.jamiiforums.com/mobile-gallery/cdba248427d78abff12367a2c85b3d70.jpg