KARIA
JF-Expert Member
- Jan 15, 2011
- 717
- 472
Rais wetu na matangazo ya biashara! Mfano tangazo la vyandarua. Wadau mnalionaje hili! On my side silikubali mkuu wa kaya, Amiri jeshi mkuu wa majeshi yote nchini kushiriki kwenye matangazo ya biashara! Haipendezi na wala haistaili kwa nafasi yake, wana jamvi mnalionaje hili?