Rais wetu ni huyu!

Rais wetu ni huyu!

huyu ndio mkuu wa kaya 2015

483379_2899429084110_1211888716_32653549_658788707_n.jpg
 
jaman mi naombeni kujuzwa kwani JF ni ya chadema nn.

Hapana! NO! JF si ya CHADEMA bali sisi watu tuliomo naona wengi wetu ndo CHADEMA, chama, chama kubwa CHADEMA.
 
huyu ndio mkuu wa kaya 2015

483379_2899429084110_1211888716_32653549_658788707_n.jpg

Wala hata hapendezie. Ila wewe unapendezea kweli na signature yako:OLE WAO FISI WAFUATAO NYAYO ZA SIMBA. Kwa nini umeamua kuwa fisi anayefuata nyayo za simba? Au wewe ndiye simba mwenyewe, unawaonea huruma fisi wanaofuata nyayo zenu ninyi simba. Kama ndivyo si unaona hata wewe mwenyewe unawaonea huruma. Haifai kabisa fisi kufuata nyayo za simba maana simba akimludi weeeeeee, na ndivyo kilivyo chama cha magamba.
 
Rais gani ametoa macho utafikiri anajisaidia.mtabaki na matumaini hewa
 
HAPO SASA UMEONGEA.HUYU NDO RAIS KWELI 2015 MWENYE WIVU AJINYONGE

483379_2899429084110_1211888716_32653549_658788707_n.jpg
[/QUOTE]
 
Back
Top Bottom