Lowasa is the only one,forget about CMD,we just need them in Parliamentary seats.Not Presidential Position.Mtasubiri sana. CCM will die but never perish.
Ni hel mala 1000 niendelee kuwapa Magamba kula za Urais kuliko huyu jamaa, hafai hata kodogo, anazo sababu nyingi za kutofaa kwake,angalau kidogo Mbowe,jembe kiboko yao,mwisho wa maneno ni mzee mwenyewe ROWASA,yeye huyo anafaaa sana Ubunge....!!
I bet you any money by 2015 Lowassa will be past his due date because of his excessive alcohol consumption while Slaa will still be as fit as a fIddle. The current goverment will also subject Lowassa to such unbearable stress that he will not have the energy to contest for the Presidency!
Nami pia, tuanzishe tume ya uchangizi. Maana wao MAGAMBA huwa wana tume ya uchunguzi kila siku, halafu wanakula fedha zetu sisi watoa kodi. Sisi tuanzishe tume ya UCHANGIZI na tusile hata kumi. Ukizingatia kauli mbiu yetu: sisi tuna Mungu, wao wana pesa.
Mbona mpaka sasa nchi ni yetu mzee, sema tu hao wengine wanalazimisha tu, kiutawala ni yao, japo pia ni kimabavu, mabavu, lakini tukiweka kimtazamo hao wanaodai nchi ni yao wala sio, wananchi wamewachoka mbaya kabisa, nadhani hata wao wanalitambua hilo la kuchokwa.