Safari_ni_Safari
JF-Expert Member
- Oct 5, 2007
- 23,273
- 17,096
kipi kina uzito kupewa jezi na Rais kwa club hiyo au kupewa jezi na mchezaji mwenyewe?
Yeye hakwenda kumtembelea Ronaldo - alienda kuongea na uongozi wa Real Madrid na Mmiliki wake juu ya kukuza soka la nchi yetu.
Sasa baada ya mkutano anaulizwa ungependa zawadi gani tukupe toka madrid? hapo yeye akaamua apewe jezi ya Ronaldo, lakini angeweza hata akapewa mipira 10,000 aje aigawe kila wilaya au angeomba madrid isaidie kutujengea soka academy moja as example - hayo yalikuwa maamuzi yake.
Sioni tatizo la Rais kuchagua apewe jezi ya Ronaldo baada ya mkutano - Mlaumuni kwa mengine ila siyo hili mnakwenda mbali.
Angeipokea kimyakimya na familia yake sawa...unapoalika Meya wa JIJI lenye watu 5m na media cover then its for public interest....inakuwa nchi imepewa jezi siyo Jakaya