- Thread starter
- #21
Sijatumwa ndugu, na wakati unachangia jiamini ndugu yangu mbona unaanza kuogopa, hayo ni mawazo tu. Tupo pamoja angalia signature yangu. CHAMA siyo kitu, tatizo ni mfumo wetu, wewe unazani wote waliopo upinzani ni wapinzani wa ukweli?. wengine ni VIBARAKA tu.Mh. John Pombe Magufuli ni mtoto wa kisiasa wa Ben Mkapa yule rais aliyeuza rasilimali nyingi za nchi na kujitajirisha yeye na kakikundi kake akiwemo magufuli aliyechukua nyumba 3 au 5 za serikali. Ben Mkapa ni mtu wa karibu kiufisadi na Rostam Aziz, nimesema kiufisadi kwani huu mfumo unawaunganisha wengi siyo lazima wawe na itikadi moja ya kisiasa, au urafiki wa karibu, ni kimfumo zaidi. Naam! sasa RA ni swahiba wa mh Edward Lowassa, na hapa sasa tunamuona RA, EL, Mkapa na Crew zima ya mafisadi wakifurahia unachoongea wewe mweka thread, kutupumbaza na tuwape kura waendeleze mfumo wao wa kinyonyaji. Angalia kampeni za igunga zilivyoenda kama una mashaka na mimi-mkapa, kafulila,(aliyempa mkapa kiwira) magufuli, jan makamba, (mfuasi muhimu wa mfumo wa kifisadi), nk
Kama ulikua hujui jua hilo, kama ulikua unataka kupima kama sisi tunajua au hatujui, tunajua, kama umetumwa na wakuu wako kutuchunguza hapa basi endelea kutuchunguza woga umetuishia inaf iz inaf