BBJ
JF-Expert Member
- Sep 2, 2011
- 1,181
- 160
Mkuu unamaanisha toa MBUPU?(kwa kinyume chake)kwani language mistake iko vipi!? Kwa mfano mimi nikimwambia mtu toa pumba halafu badala ya kumalizia na "a" kwenye pumba nikaweka "u" je nitakua nimebadili maana au maana itakuwa ile ile...