Rais wangu Kikwete, siwezi kununua hata dagaa sasa!

Siyo siri dadangu hii imeniuma balaa. Na hapa utaambiwa tumethubutu tumeshindwa na tunazidi kurudi nyuma!
 
Hapo kukuelewa itakuwa ngumu. Tumia tu lugha yako asili hii ya kigeni huiwezi!

Kwa Kiingereza huniwezi hata ukichakachuwa, upo out of context, weka kitu kamili, kinaeleweka kabisa. Labda nikupe darsa kuhusu Kiingereza; nilikuwa nafundisha Kiingereza Uingereza, upo hapo ulipo?
 
Typo or thumbo and not language mistake, just take a look at where u and i is?

kwani language mistake iko vipi!? Kwa mfano mimi nikimwambia mtu toa pumba halafu badala ya kumalizia na "a" kwenye pumba nikaweka "u" je nitakua nimebadili maana au maana itakuwa ile ile...
 
Rais Kikwete, miezi 2 iliyopita dagaa kilo moja ilikuwa tsh 3000, leo hii dagaa tsh6200.

Nina watoto 3 wanaosoma, siwezi kuwalisha. Nyama siwezi kununua, na hata dagaa siwei kununua kwa mshahara wa laki 250,000.

Nadhani umeshindwa kuongoza nchi kilichobaki ni sisi kuingia mitaani kukuondoa kama hautaki kuondoka mwenyewe. Siwezi kuendelea kuvumilia, kwa maana kama dagaa chakula cha masikini siwezi kukinunua ni nini sasa nitakachoweza kununua kuwalisha wanangu?

Niwalishe wanangu nini? Nilikupigia kura nikiamini kwamba ungeleta mabadiliko uliyoyaahidi...... baba ondoka, kwa maana umekiua chama chetu cha CCM, vinginevyo tunakwenda Chadema wamama wote

Vp we ulimpiga kura ya urais tu? Ka ulimpigia na mbunge wako mtafute akuwezeshe kwa posho alizopokea, maanake huwa zinatumika kusaidia wapiga kura kwny harambee na misiba ka wanavyodai wabunge wenyewe
 
kwani language mistake iko vipi!? Kwa mfano mimi nikimwambia mtu toa pumba halafu badala ya kumalizia na "a" kwenye pumba nikaweka "u" je nitakua nimebadili maana au maana itakuwa ile ile...

Language mistake unapoandika "nafikili" badala ya "nafikiri". Hiyo unayosema wewe itakuwa ni kusudi na si "mistake", kwani "u" iko wapi na "a" iko wapi kwenye "keyboard" yako? kama untaka kujifundisha kuandika "start a thread" kule jukwaa la elimu, ntakuja kukupa darsa, hapa wacha tuandike kuhusu dagaa.
 
Kwa Kiingereza huniwezi hata ukichakachuwa, upo out of context, weka kitu kamili, kinaeleweka kabisa. Labda nikupe darsa kuhusu Kiingereza; nilikuwa nafundisha Kiingereza Uingereza, upo hapo ulipo?

duh... Wewe ni noma! Leta darsa watu tupate ilmu...
 
JICHO D, you have the great point.
JUWATA na OTTU walipokuwa wanajenga hoja ya kuongezewa mshahara na kutoa mchanganuo wa gharama ya mahitaji ya msingi, dagaa ilikuwa katika orodha na bei yake ilikuwa chini ya utumbo wa ng'ombe. Leo kilo ya dagaa inaacha zaidi ya maradufu ile ya sukari.

Lipo tatizo kubwa katika Serikali ya Kikwete nalo kutowajibika na kushindwa kudhibiti mfumuko wa bei. Nchi inaenda naturally.

Jk achana nao wasikuzingue waliogoma umande hao wewe ukakomaa na shule. Anayetaka kwenda chadema aende maana kelele zimezidi
 
Dagaa huwezi kununua lakini fedha ya kuingia mtandaoni unayo, au unaiba mtandao wa ofisini?

mtandao ni mia tano kwa saa, au hata kwa rafiki waweza kulog in na kutuma au hata kwa simu

usiulize maswali kama katibu wa ccm dodoma mazee, you are smarter than that mamaa
 
Rais Kikwete, miezi 2 iliyopita dagaa kilo moja ilikuwa tsh 3000, leo hii dagaa tsh6200.

Nina watoto 3 wanaosoma, siwezi kuwalisha. Nyama siwezi kununua, na hata dagaa siwei kununua kwa mshahara wa laki 250,000.

Nadhani umeshindwa kuongoza nchi kilichobaki ni sisi kuingia mitaani kukuondoa kama hautaki kuondoka mwenyewe. Siwezi kuendelea kuvumilia, kwa maana kama dagaa chakula cha masikini siwezi kukinunua ni nini sasa nitakachoweza kununua kuwalisha wanangu?

Niwalishe wanangu nini? Nilikupigia kura nikiamini kwamba ungeleta mabadiliko uliyoyaahidi...... baba ondoka, kwa maana umekiua chama chetu cha CCM, vinginevyo tunakwenda Chadema wamama wote
Thanks JichoD umei-present vizuri yaani it is touching message short and clear.
 
Language mistake unapoandika "nafikili" badala ya "nafikiri". Hiyo unayosema wewe itakuwa ni kusudi na si "mistake", kwani "u" iko wapi na "a" iko wapi kwenye "keyboard" yako? kama untaka kujifundisha kuandika "start a thread" kule jukwaa la elimu, ntakuja kukupa darsa, hapa wacha tuandike kuhusu dagaa.

pamoja... :poa
 
Rais Kikwete, miezi 2 iliyopita dagaa kilo moja ilikuwa tsh 3000, leo hii dagaa tsh 6200.

Nina watoto 3 wanaosoma, siwezi kuwalisha. Nyama siwezi kununua, na hata dagaa siwei kununua kwa mshahara wa laki 250,000.

Nadhani umeshindwa kuongoza nchi kilichobaki ni sisi kuingia mitaani kukuondoa kama hautaki kuondoka mwenyewe. Siwezi kuendelea kuvumilia, kwa maana kama dagaa chakula cha masikini siwezi kukinunua ni nini sasa nitakachoweza kununua kuwalisha wanangu?

Niwalishe wanangu nini? Nilikupigia kura nikiamini kwamba ungeleta mabadiliko uliyoyaahidi...... baba ondoka, kwa maana umekiua chama chetu cha CCM, vinginevyo tunakwenda Chadema wamama wote

Hapa unaongelea wale Dagaa wachungu wa ziwa victoria, ukiongelea wale KAPENTA wa Lake Tanganyika, ni kwamba Kilo moja ni Tshs 25,000.
 
Nafikili jk hajatubana vya kutosha, jk bana hao vihelehele wanawake pia vijizee (vibibi na vibabu) vipenda sifa mpaka mashuzi uyasikie yakitokea kt masabuli yao, hasa hao ulowapa tshirt, kofia pia pakti za chunvi bana mpaka washike adabu zao maana hawakuujua uongo wako kuwa neno hari mpya, kasi mpya na nguvu mpya wajue kuwa ni uongo pia ghiliba kama uongo mwingi ulokuwa ukiutoa, maana ata ahadi zko tangu 2005 ni 15% ulizotekeleza, aksante sana jk
 
kwa kiingereza huniwezi hata ukichakachuwa, upo out of context, weka kitu kamili, kinaeleweka kabisa. Labda nikupe darsa kuhusu kiingereza; nilikuwa nafundisha kiingereza uingereza, upo hapo ulipo?
apoooooooo!!!!!!!!! Muongeze nyingine mpaka hakukome......... Te te te ...
 
Kula jeuri yako ya kukataa mabadiliko.... We una tumbo la kuhara afu unatishia kujamba?
 
Huupendi ukweli? Njaa tulikuwanayo wakati wa Nyerere, tukipanga foleni kuanzia saa 9 za usiki kungoja kilo moja ya unga wa manjano kwa wiki kwa kaya. Hiyo ndio njaa, ulikuwepo wewe? uliza tuliokuwepo.

Leo mtu anakaa kwenye mtandao na laptop ya millioni anakwambia anashindwa kununua dagaa. Wacha maskhara weye.
huwezi kufananisha enzi ya nyerere na sasa.na majanga ya njaa yanaweza kutokea wakati wowote bila kujali utawala uliopo.kuhusu computer hata wakati huo ulaya kwenyewe zilikuwa bado,simu ndo kabisaa.tv hata huko tokyo walikuwa cdo wanatumia black and white.usipongeze mtoto wa kike kuota matiti ama wa kiume kuota ndevu ukasema ni malezi wakati hata angekulia mtaani atafikia hiyo stage ya mabadiliko ya maumbile
kipindi hicho wewe ukiwa mmojawapo unayesurvive kwa kuwa ulipata chanjo na matibabu bure.elimu uliyopata bure.viwanda kibao na pamoja na makabila yenu utitiri hapa mnabofya keyboard lugha moja.kahawa na katani na pamba ndo ilifanya kazi mkatunziwa dhahabu zenu msome kwanza leo mnatumia ilimu yenu kukashifu na kusaidia smuggling ya natural resources! shame on you vibaraka!
 
Nafurahi kama ujumbe umekufikia barabara.Unasema vijana wa sasa ni wavivu na hawataki kufanya kazi,umewapa kazi wakakataa kufanya?Unatambua kua tatizo kubwa kwa sasa Tz ni ajira,halafu wewe unasema hawataki kufanya kazi,WHAT NONE SENSE!Kama unaona ni mkwala Mbuzi jitokeze hadharani na uongee hizo PUMBA zako uone kitakachojiri kwako.

Nakumbuka wakati nasoma chekechea pale Kisutu, nilikuwa napiga watu mikwala kama hii..

Wewe utanitisha mimi wakati afya yako mtihani miguu yote imemalizwa na Sotoka
 
Kwa Kiingereza huniwezi hata ukichakachuwa, upo out of context, weka kitu kamili, kinaeleweka kabisa. Labda nikupe darsa kuhusu Kiingereza; nilikuwa nafundisha Kiingereza Uingereza, upo hapo ulipo?

FaizaFoxy~1=Magwanda~100
 
20 Reactions
Reply
Back
Top Bottom