hapa ndipo tunajifunza kwamba Zanzibar ni nchi isiyo na mamlaka kamili ya kidola.Kwa mfano Rais Mwinyi wa Zanzibar amteuwe muheshimiwa Nape kuwa waziri wa afya kwenye serikali ya mapinduzi Zanzibar,hili aliwezekani.
Wali wa nazi hauna longolongo. Lazima tupate vitambi vya hajaKwa sasa wao ndiyo waongeaji wakubwa hapa jijini
Na maduka yanayo uza uroojo yameongezeka sana jijini kipindi hiki.Wali wa nazi hauna longolongo. Lazima tupate vitambi vya haja
Yaakheee hizo ndiyo kheeerooo za muungaaanoooHata ardhi kununua kule uwezi acha ardhi ukiwa mbara uwezi pata kazi serikali ya Zanzibar wakati wao wapo uku kibao kwnye ofisi za serikali ya Tanzania bara wanafanya kazi.
Wakati wana wimbo wao wa taifa?hapa ndipo tunajifunza kwamba Zanzibar ni nchi isiyo na mamlaka kamili ya kidola.
Kwasababu Nape sio Mzanzibari mkuuKwa mfano Rais Mwinyi wa Zanzibar amteuwe muheshimiwa Nape kuwa waziri wa afya kwenye serikali ya mapinduzi Zanzibar,hili aliwezekani.
Check your facts again ndugu.Inawezekana,Katibu Mkuu kiongozi wa SMZ kabla ya hapo alikuwa anafanya Kazi bara akiwa katibu tawala Tanga kisha Dk Mwinyi akamteua