Rais wa Zanzibar anapigiwa mizinga mingapi?

Kisanduku

JF-Expert Member
Jul 9, 2009
284
482
Siku ya kumbukumbu ya uhuru wiki juzi mwanajeshi mmoja alikuwa anafafanua gwaride na mambo ya kijeshi.

Kuhusu saluti za mizinga alisema rais anapigiwa mizinga 21, makamu wa rais na waziri mkuu mizinga 19.

Kwa ujumla alisema hivi,
1. Rais, mfalme, malkia, Sultani (21)
2. Makamu wa Rais, Waziri Mkuu (19).

Kisha wafuatao mazishi yao yana mizinga ifuatavyo:
3. Waziri wa Ulinzi, General (17)
4. Lt. General (15)
5. Brigadier General (11)

Japo nilifurahi kuelimika lakini sikusikia Rais wa Zanzibar anapigiwa mizinga mingapi.

Mwenye jibu sahihi anisaidie nielimike

 
Siku ya kumbukumbu ya uhuru wiki juzi mwanajeshi mmoja alikuwa anafafanua gwaride na mambo ya kijeshi.

Kuhusu saluti za mizinga alisema rais anapigiwa mizinga 21, makamu wa rais na waziri mkuu mizinga 19...

Hata apigiwe mizinga ya ulimwengu mzima itamsaidia nini maiti ?

Ibilisi ni maluuni
 
Zanzibar siyo nchi (by Mizengo Pinda, the former pm).

Hivyo Zanzibar ni sawa na Katavi tu. Na rais wake hana tofauti na RC wa Katavi. RC anapigiwa mizinga?

Kuhusu neno rais lisikutishe. Tuna rais wa bao, TFF, ngumi, wasafi, etc hawa wanapigiwa mizinga mingapi
 
Raisi wa Zanzibar anapokua Zanzibar anakua treated kama raisi wa nchi na ndie top kwene serikali ya mapinduzi ya Zanzibar na ndio head of executive kwene muundo wa Katiba ya Zanzibar... Hivo hupigiwa mizinga 21
 
Zanzibar siyo nchi (by Mizengo Pinda, the former pm).

Hivyo Zanzibar ni sawa na Katavi tu. Na rais wake hana tofauti na RC wa Katavi. RC anapigiwa mizinga?

Kuhusu neno rais lisikutishe. Tuna rais wa bao, TFF, ngumi, wasafi, etc hawa wanapigiwa mizinga mingapi
Ficha ujinga wako.
 
Wanakosa sovereignty,,hawana uwezo wa kujiamulia mambo yao wenyewe. Mpaka wapate baraka toka Bara.
Zanzibar wanajiamulia mambo Yao yote ambayo sio unioni matters.... Na ndio hayo ambayo raisi wa Zanzibar anayalinda yalio kwene Katiba ya Zanzibar bila kuhitaji ruhusa kutoka kwa kiongozi yyte yule.

Raisi wa jamhuri ya muungano yeye ni anasimamia Yale mambo ambayo ni unioni matters tu kama ilivo ainishwa kwene Katiba ya jamhuri ya muungano. Ndo Maan Zanzibar inakatiba yake na Ina serikali yake inayoitwa serikali ya mapinduzi Zanzibar na boss(top) ni raisi wa zanzibar
 
Zanzibar wanajiamulia mambo Yao yote ambayo sio unioni matters.... Na ndio hayo ambayo raisi wa Zanzibar anayalinda yalio kwene Katiba ya Zanzibar bila kuhitaji ruhusa kutoka kwa kiongozi yyte yule... Raisi wa jamhuri ya muungano yeye ni anasimamia Yale mambo ambayo ni unioni matters tu kama ilivo ainishwa kwene Katiba ya jamhuri ya muungano..... Ndo Maan Zanzibar inakatiba yake na Ina serikali yake inayoitwa serikali ya mapinduzi Zanzibar na boss(top) ni raisi wa zanzibar
Shida ni hizo union matters,,,mwanzoni yalikuwa machache sn,Leo hii union matters yameongezwa sn na hapo ndipo mzizi wa fitina ulipo. Zanzibar haina sovereignty,,haiwezi kuteua hata mabalozi,haina uwakilishi UN. Kuwa na katiba hata club za golf zina katiba. Zanzibar haina hata vikosi vya Jeshi LA ulinzi Wa wananchi. Rais wa Zanzibar ni sawa na jibwa lisilo na meno,aweza kubweka tu,siyo kung'ata!
 
Zanzibar siyo nchi (by Mizengo Pinda, the former pm).

Hivyo Zanzibar ni sawa na Katavi tu. Na rais wake hana tofauti na RC wa Katavi. RC anapigiwa mizinga?

Kuhusu neno rais lisikutishe. Tuna rais wa bao, TFF, ngumi, wasafi, etc hawa wanapigiwa mizinga mingapi
Zanzibar ni moja ya nchi mbili zinazounda Jamhuri ya Muungano wa Tanzania (Katiba ya Zanzibar ya mwaka 1984). Katiba ya Jamhuri inaitambua Zanzibar na mamlaka yake
 
Shida ni hizo union matters,,,mwanzoni yalikuwa machache sn,Leo hii union matters yameongezwa sn na hapo ndipo mzizi wa fitina ulipo. Zanzibar haina sovereignty,,haiwezi kuteua hata mabalozi,haina uwakilishi UN. Kuwa na katiba hata club za golf zina katiba. Zanzibar haina hata vikosi vya Jeshi LA ulinzi Wa wananchi. Rais wa Zanzibar ni sawa na jibwa lisilo na meno,aweza kubweka tu,siyo kung'ata!
Kwa hivyo kwa kuwa haliwezi kung'ata nenda kalichezee. Unaota mchana?
 
Zanzibar ni moja ya nchi mbili zinazounda Jamhuri ya Muungano wa Tanzania (Katiba ya Zanzibar ya mwaka 1984). Katiba ya Jamhuri inaitambua Zanzibar na mamlaka yake
Hivi nimwamini nani kati ya Mizengo Pinda (pm) na wewe mlalahoi usiye na mamlaka yoyote, usiyejulikana popote na humu umetumia ID fake??

Pinda ashasema Zanzibar siyo nchi.
 
Hivi nimwamini nani kati ya Mizengo Pinda (pm) na wewe mlalahoi usiye na mamlaka yoyote, usiyejulikana popote na humu umetumia ID fake??

Pinda ashasema Zanzibar siyo nchi.
Hahahaha; kutumia ID fake na sexless person ipi taabu zaidi? Au ndio kutokujitambua? By the way who's Pinda inapokuja maswala ya katiba na mikataba ya kimataifa? Unapaswa kutambua mamlaka ya kila taasisi na siyo kupayuka tu.
 
Back
Top Bottom