Labda alimtishia nyau bashite wao!!Alifanya kosa gani hilo ambalo asingeweza kusamehewa bila kupiga magoti mbele ya media?
Hahahahaa!!Labda alimtishia nyau bashite wao!!
Huyo waziri mbona kitabia anafanana na waziri profesa majalalawaziri kaona bora kuzalilika tu..