Kwahiyo wafungue tuwapekekee virusi waendelee kufa.Nawaonea huruma Zambia. Wanawatwika bure Tanzania zigo la m... Ila mambo yatakuwa sawa siafiki uamuzi wa Zambia, hata wakifunga mipaka ni bure kama ugonjwa ushatinga kwao.
Vyovyote watakavyoona inafaa. Ila walishachelewa.Kwahiyo wafungue tuwapekekee virusi waendelee kufa.
Sisi ndiotumechelewaVyovyote watakavyoona inafaa. Ila walishachelewa.
Watanzania mno moyo, hivi kuna watu bado mna Imani na CCM pamoja na makando kando yao kibao?Dah huyu mzee anatupeleka wapi jamani?
Ccm hamna replacemet kweli?Mbona mnatutesa namna hii watanzania?Mbn viongozi wazuri mnao wengi tu?
Pengine wanaojadili hii mada ni wepesi vichwani. Hivi Zambia ni "LANDLOCKED COUNTRY"
Akifunga mpaka nani atapata hasara? Bomba la mafuta la TAZAMA linachukua mafuta kutaka Tanzania, bidhaa zake zinapitia Tanzania pamoja na na IT, wafunge tu!
Mungu katujaalia Kiongozi mwenye maono ya mbali.
Wananchi wa Zambia ni masikini kwelikweli hawana uwezo hata wa kukaa siku moja ndani na Serikali yao haina ubavu wa kuwalisha sembe au mkate. Maandamano kila kukicha juu ya sembe.
Tatizo liko wapi? Kila nchi na style yake. Tarehe 15 Dreamliner yetu inapaa India kuchuka watanzania wakiokwama kama wanajeuri warushe na wao. Uwezo wa kiuchumi kwao ni chini zaidi yetu. Ni sawa na Bondia wa feather weight kumtishia Nyau heavy weight!
Yani umeacha mlango wazi mpaka nyoka kaingia ndio ufunge mlango!?
Ni nani aliyebaki, Zanzibar?Hapo bado majirani wengine
We jamaa sijui ni umejitoa ufahamu au ufahamu wako ndio umeishia hapo mji uliofungwa ni nakonde bomba la mafuta linakwenda Ndola sasa hapo inahusiana nini halafu hata kama lingekua linakwenda nakonde, mji umefungwa ili kuzuia muingiliano wa watu ili ugonjwa usisambae sasa bomba la mafuta hapo linahusu nini? Kweli wajinga hawaisha dunian.
Sent using Jamii Forums mobile app