Waterloo
JF-Expert Member
- Nov 30, 2010
- 25,360
- 38,871
Anamfungia nani ?
Anamfungia nani ?
Naona pumzi imewakata sasa ni mwendo wa kutoa ushauri nasaha! Ni aibu sana watu tunaojidai tunawahurumia kwa kuwa hawana bandari sasa wao ndo wanatufungia mipaka. Bila hata consultation ya ujirani mwema.Je, kwan kuna tatizo na Zambia kufunga mpaka wake? Mbona nchi nyingi tu duniani zimefunga mipaka na nyingine kuwafungia watu wao ndani (lockdown)!..
We kengeee tu unasema dawayao ipo jikoni utafanyaje we mbururaa wa lumumba?Zambia wasubirie dawa yao iko jikoni
Unaongea kama Kabudi. EndeleaJe, kwan kuna tatizo na Zambia kufunga mpaka wake? Mbona nchi nyingi tu duniani zimefunga mipaka na nyingine kuwafungia watu wao ndani (lockdown)!
Hamkosi la kulaumu ila mjue ukweli kwamba malengo yenu hayafatanikiwa kama hambadiliki kimawazo mkaungana na WaTz wengine kwa maendeleo bila kujali kabila, dini, jinsia, elimu, madaraka, kipato na siasa.
Kwa pamoja Tanzania bila COVID-19 yawezekana. Mimi, wewe, yeye, wao:-
JIKINGE UMKINGE JIRANI
JILINDE UWALINDE WAPENDWA WAKO
Sio kiburi pekee wana ujinga ulio pitiliza.Tanzania ndo hamuwezi ku survive bila Zambia. Kwanza mnategemea border ya nakonde kuingia Congo. Mnategemea mpate mapato bandarini.
Ukisema kuhusu chakula kama mchele viazi etc vinavyotoka mbeya. Zambia karibu kila mji kuna maduka ya Shoprite na pick n pay. Hizo store ni za wa south afrika na wanaleta kila kitu mpaka ndizi sukari kutoka South vinauzwa hapo
Hicho kiburi alichokua nacho jiwe anawaambukiza Watanzania. Lakini Kaa ukijua Zambia anaweza kusurvive. Atatumia bandari ya beira/Durban kama ikibidi.
Sent From Galaxy S20 Ultra
Hehehehe nacheka lakini naogopaJe, kwan kuna tatizo na Zambia kufunga mpaka wake? Mbona nchi nyingi tu duniani zimefunga mipaka na nyingine kuwafungia watu wao ndani (lockdown)!
Hamkosi la kulaumu ila mjue ukweli kwamba malengo yenu hayafatanikiwa kama hambadiliki kimawazo mkaungana na WaTz wengine kwa maendeleo bila kujali kabila, dini, jinsia, elimu, madaraka, kipato na siasa.
Kwa pamoja Tanzania bila COVID-19 yawezekana. Mimi, wewe, yeye, wao:-
JIKINGE UMKINGE JIRANI
JILINDE UWALINDE WAPENDWA WAKO
Zambia kuna Supermarkets nyingi kuliko hata mashule/hospital.Tanzania ndo hamuwezi ku survive bila Zambia. Kwanza mnategemea border ya nakonde kuingia Congo. Mnategemea mpate mapato bandarini.
Ukisema kuhusu chakula kama mchele viazi etc vinavyotoka mbeya. Zambia karibu kila mji kuna maduka ya Shoprite na pick n pay. Hizo store ni za wa south afrika na wanaleta kila kitu mpaka ndizi sukari kutoka South vinauzwa hapo
Hicho kiburi alichokua nacho jiwe anawaambukiza Watanzania. Lakini Kaa ukijua Zambia anaweza kusurvive. Atatumia bandari ya beira/Durban kama ikibidi.
Sent From Galaxy S20 Ultra
Ndugu jitambue kidogo. Mimi sio mchangiaji sana humu ila tumia akili japo kidogo. Nakonde imeonekana kama ndio epicenter ya maambukizi na madreva 26 waliopimwa asilimia kubwa (69%) ni watanzania. Tafsiri yake ni kwamba sisi ndio tunasambaza huu ugonjwa!!Je, kwan kuna tatizo na Zambia kufunga mpaka wake? Mbona nchi nyingi tu duniani zimefunga mipaka na nyingine kuwafungia watu wao ndani (lockdown)!
Hamkosi la kulaumu ila mjue ukweli kwamba malengo yenu hayafatanikiwa kama hambadiliki kimawazo mkaungana na WaTz wengine kwa maendeleo bila kujali kabila, dini, jinsia, elimu, madaraka, kipato na siasa.
Kwa pamoja Tanzania bila COVID-19 yawezekana. Mimi, wewe, yeye, wao:-
JIKINGE UMKINGE JIRANI
JILINDE UWALINDE WAPENDWA WAKO
Je, kwan kuna tatizo na Zambia kufunga mpaka wake? Mbona nchi nyingi tu duniani zimefunga mipaka na nyingine kuwafungia watu wao ndani (lockdown)!
Hamkosi la kulaumu ila mjue ukweli kwamba malengo yenu hayafatanikiwa kama hambadiliki kimawazo mkaungana na WaTz wengine kwa maendeleo bila kujali kabila, dini, jinsia, elimu, madaraka, kipato na siasa.
Kwa pamoja Tanzania bila COVID-19 yawezekana. Mimi, wewe, yeye, wao:-
JIKINGE UMKINGE JIRANI
JILINDE UWALINDE WAPENDWA WAKO