VERITE-NUE
JF-Expert Member
- Jan 28, 2019
- 1,481
- 1,450
Joseph Kabila aliyekuwa Rais wa DRC amezungumza kwa video na akamuita Rais wa sasa wa DRC Dictator. Kabila amezungumza baada ya Bunge la DRC kumuondolea kinga ya kutokushitakiwa. Mamlaka za DRC zinataka kumshitaki kabila kwa makosa ya Uhaini na uhalifu wa kivita akihusishwa na M23.
Serikali ya sasa ina wafuasi wengi wa Kabila, na huku zaidi ya wanajeshi wakuu 20 wapo nyuma ya nondo, kufuatia kinachoitwa usaliti uliopelekea Kivu zote kuangukia mikononi mwa AFC/M23(waasi).
Serikali ya sasa ina wafuasi wengi wa Kabila, na huku zaidi ya wanajeshi wakuu 20 wapo nyuma ya nondo, kufuatia kinachoitwa usaliti uliopelekea Kivu zote kuangukia mikononi mwa AFC/M23(waasi).