GE2025 Rais wa Wachimbaji Madini: Napendekeza moja ya madini tuyabadilishe jina yaitwe 'Samia Suluhu Hassan'

GE2025 Rais wa Wachimbaji Madini: Napendekeza moja ya madini tuyabadilishe jina yaitwe 'Samia Suluhu Hassan'

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
4,393
Reaction score
14,500
Rais wa Wachimbaji wa Madini Tanzania, John Wambura Bina, kwenye mkutano wa kampeni leo Oktoba 13, 2025, Mkoa wa Geita, amependekeza kwamba moja ya madini nchini yabadilishwe jina na yaitwe “Samia Suluhu Hassan” kama ishara ya kutambua mchango mkubwa wa Rais Samia Suluhu Hassan katika kuendeleza sekta ya madini na kuboresha mazingira ya uwekezaji nchini.
 
Jamani msiwe mnaleta humu maneno ya watu hata akili za kawaida tu hawana.

Huyo Bina kichwani hakuna kitu kabisa. Yeye wakati wote anahangaika tu mabinti.

Siku moja nilishangaa sana uwendawazimu wa huyo Bina. Alipiga picha ya video akiwa na binti kitandani, wakiwa utupu, akionesha matiti ya huyo binti. Aliyetumiwa akawa analalamika kuwa amekuwa akimtumia hayo mapicha ya ajabu kila mara. Akampigia simu hapo hapo kuwa kwa nini haridhiki, kila siku ni kuonesha yupo na msichana mwingine. Bina akamjibu kwa kumwuliza kama anajua pale Singida yeye anajulikana kwa jina gani, akasema kuwa afahamu kuwa pale Singida, yeye anaitwa King Mswati. Jamaa akachukia, akamkatia simu.

Huyo Bina ni mwehu, hastahili hata kujadiliwa
 
Nothing bad with thinking out of the Box ingawa hii hta Box halipo kabisa yaani ni next universe; unless ni madini mapya tuyagundue kesho haiwezekani watu waje kununua diamond au tanzanite au gold na kwenye soko la dunia hio ndio SI unit na tulivyozoea wewe uanze kuwaambia sijui unauza ounce moja ya Samia au Suluhu au hata Hassan (hata kwenye comedy haichekeshi)
 
Haoni kuwa hilo jina ni refu kulitamka lote ni shughuli pevu?
 
Rais wa Wachimbaji wa Madini Tanzania, John Wambura Bina, kwenye mkutano wa kampeni leo Oktoba 13, 2025, Mkoa wa Geita, amependekeza kwamba moja ya madini nchini yabadilishwe jina na yaitwe “Samia Suluhu Hassan” kama ishara ya kutambua mchango mkubwa wa Rais Samia Suluhu Hassan katika kuendeleza sekta ya madini na kuboresha mazingira ya uwekezaji nchini.
Bongo ujinga mwingi sana.
 
Jamani msiwe mnaleta humu maneno ya watu hata akili za kawaida tu hawana.

Huyo Bina kichwani hakuna kitu kabisa. Yeye wakati wote anahangaika tu mabinti.

Siku moja nilishangaa sana uwendawazimu wa huyo Bina. Alipiga picha ya video akiwa na binti kitandani, wakiwa utupu, akionesha matiti ya huyo binti. Aliyetumiwa akawa analalamika kuwa amekuwa akimtumia hayo mapicha ya ajabu kila mara. Akampigia simu hapo hapo kuwa kwa nini haridhiki, kila siku ni kuonesha yupo na msichana mwingine. Bina akamjibu kwa kumwuliza kama anajua pale Singida yeye anajulikana kwa jina gani, akasema kuwa afahamu kuwa pale Singida, yeye anaitwa King Mswati. Jamaa akachukia, akamkatia simu.

Huyo Bina ni mwehu, hastahili hata kujadiliwa
Dah! Sikujua kama ningekutana na mtu anamjua John Bina kiasi hiki.

Si hivyo tu, Michezo michezo hiyo kikamranba kwa kijana wake Wahuni wakawa wanajilia, Alivyokuja kufahamu alihaha, Kamnyima kijana access za biashara, kamnyang’anya ufunguo wa gari, akaburn na access za pesa zote. Na ni kweli mwanae alikuwa anahonga vijana.

Tunaomjua tukamkumbusha tu ni Karma hiyo. Yeye achezee mabinti za watu, familia yake iwe salama tu? Si kweli!

Jinga hilo, huni kupindukia kama yalivyo mahuni yote yanayojinasibisha na CCM.
 
Rais wa Wachimbaji wa Madini Tanzania, John Wambura Bina, kwenye mkutano wa kampeni leo Oktoba 13, 2025, Mkoa wa Geita, amependekeza kwamba moja ya madini nchini yabadilishwe jina na yaitwe “Samia Suluhu Hassan” kama ishara ya kutambua mchango mkubwa wa Rais Samia Suluhu Hassan katika kuendeleza sekta ya madini na kuboresha mazingira ya uwekezaji nchini.
Yeye awape hayo majina wanae na wajukuu zake.

Sisi wengine tunawapa hayo majina mbwa na paka wetu wenye tabia mbaya ya kushambulia (kudhuru) watu au kula mayai na vifaranga!
 
Rais wa Wachimbaji wa Madini Tanzania, John Wambura Bina, kwenye mkutano wa kampeni leo Oktoba 13, 2025, Mkoa wa Geita, amependekeza kwamba moja ya madini nchini yabadilishwe jina na yaitwe “Samia Suluhu Hassan” kama ishara ya kutambua mchango mkubwa wa Rais Samia Suluhu Hassan katika kuendeleza sekta ya madini na kuboresha mazingira ya uwekezaji nchini.
Hovyo hovyo kabisa kabisa 👺😡😤😠
 
Mfikishie taarifa, vitalu vyake tunavijua, tukikomboa inch tunapita navyo mapema tu
 
Back
Top Bottom