Rais wa Ufilipino vs Rais Dr. Magufuli

Rais wa Ufilipino vs Rais Dr. Magufuli

Nafikiri haujui anachofanya Raisi Rodrigo wa Ufilipino,kihistoria huyu jamaa alikuwa ni mayor wa jimbo fulani huko kwao na katika uongozi wake inasemekana alikuwa na kikosi cha udunguaji wauza madawa ya kulevya hivyo tokea amepata uraisi miezi miwili iliyopita watu 1900 na ushee wamepoteza maisha kutokana na amri yake ya kutokomeza Madawa ya kulevya,polisi wamepewa amri ya kuwaua watumiaji,wasambazaji pia wafanya biashara wakubwa ,cha ajabu sasa hata baadhi ya Polisi ni baadhi yao wapo kwenye biashara hiyo kwa ruhusa waliopewa basi wanateketeza kila mtu anayejua kuwa walishawahi fanya nao biashara.Hali imekuwa mbaya sana hasa kwa mateja risasi ndio zimekuwa hukumu kwao,inasikitisha kwa kweli si suala la kufurahia kwani unapowapa vyombo vya dola uhalali wa kuua bila kufuata sheria matokeo ndio hayo.
"Double your efforts. Triple them, if need be. We will not stop until the last drug lord, the last financier, and the last pusher have surrendered or put behind bars -- or below the ground, if they so wish," he said in his July 25 State of the Nation speech."
 
We izo takwimu za 30% umezitoa wap? Sema we ndo hautampa ila wengine tutampa kula kama kawaida, usipende wabeza wengine na kujiona kama wewe ndo una akili nyingi sana wakati akili zako kaomdoka nazo Mbowe, kakuacha kapa hapooo. Leta nawe takwimu tuone ss izo unazosema hapati
 
Democracy hata huko USA, UK n.k. imekuja kusetle baada yakuwa wameshajipanga,,, lkn people suffered a lot,, maendeleo sio lelemama lazima watu waumie kwa sisi developing countries
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom