Rais wa Ufilipino vs Rais Dr. Magufuli

Rais wa Ufilipino vs Rais Dr. Magufuli

TumainiEl

Platinum Member
Joined
Jan 13, 2010
Posts
7,276
Reaction score
14,319
Wakati imebaki siku moja watu walio daganywa wakadaganyika kuingia kuandamana ni bora wakatafakari haya nakumuomba radhi Rais wetu kwakuwa mwana democrasia.

Uko ufilipino wananchi yapata mwaka sasa walimchaguwa kidemocrasi rais mwenye maamuzi magumu ktk maswala ya kitaifa. Rais huyo tangu ameongia madarakani amesha nyonga zaid ya watu miasaba hamsini wauza unga. Tz hajanyonga hatA mmoja.

Rais huyo alienda mbali kutoa kibali raia kuwauwa wauza unga jambo limeongeza idadi kufika elfu. Hapa tz rais amesema wakitumia silaha ndio walazwe.

UN wameikemia uphilipino rais akawajibu kama kuwa UN nikuruhusu democ yakuwaruhusu wauza unga atajitoa uko un. Tz rais wetu hana red flag ya kutoka Un.

Rais huyo anaye nyonga wahalifu bila huruma wananchiwana muunga mkono 95%. Tz watanzania wanamuunga mkono kwa 98% tangu kuingia madarakani....
 
Wakati imebaki siku moja watu walio daganywa wakadaganyika kuingia kuandamana ni bora wakatafakari haya nakumuomba radhi Rais wetu kwakuwa mwana democrasia.
Uko ufilipino wananchi yapata mwaka sasa walimchaguwa kidemocrasi rais mwenye maamuzi magumu ktk maswala ya kitaifa. Rais huyo tangu ameongia madarakani amesha nyonga zaid ya watu miasaba hamsini wauza unga. Tz hajanyonga hatA mmoja.
Rais huyo alienda mbali kutoa kibali raia kuwauwa wauza unga jambo limeongeza idadi kufika elfu. Hapa tz rais amesema wakitumia silaha ndio walazwe.
UN wameikemia uphilipino rais akawajibu kama kuwa UN nikuruhusu democ yakuwaruhusu wauza unga atajitoa uko un. Tz rais wetu hana red flag ya kutoka Un.
Rais huyo anaye nyonga wahalifu bila huruma wananchiwana muunga mkono 95%. Tz watanzania wanamuunga mkono kwa 98% tangu kuingia madarakani....
Yaan familia yako tu ndo imefikisha hizo asilimia98??
 
mbona huyaitolea mfano brazil au huijui halafu hiyo 98% iandike hiv 38% mjomba
 
Mi nilifikiri amepiga marufuku mikutano ya kisiasa au wapinzani wake anawatia ndani! Kama ni suala la madawa ya kulevya hata Magu akifanya hivyo tutampigia makofi. Lakini huku kwetu kila utakachoongea ni uchochezi. Imefikia kipindi hata kesi za ujambazi,ufisadi,ubakaji hazipo tena kila kesi ni uchochezi huyo atakayemuunga mko ni nani?
 
Hizo takwimu zako za 98% umetoa wapi?
Kichwani kwake. Ikifanywa takwimu ya kweli bila kuchakachuliwa jamaa hana support ya hata asilimia 30 ya wananchi kwa sasa. Leo tukipiga kura tena hawezi kupata hata asilimia 10.
 
Mfano wa kumfaanisha Mkosaji na mkosaji hauko sawa. Mfananishe na Viongozi wa nchi zenye demokrasia na maendeleo ya kiuchumi kama USA, UK, SA, n.k.

Si mmesema tunataka Tz ya Viwanda. Basi mfananishe na hao.
 
Nchi kama ufilipino wana nini cha ziada mana nao wana maisha magumu na hawapigi hatua,ni moja ya nchi zenye hali tete bara la Asia halafu unakuja hapa tumbo wazi kumshangilia Rais ukimlinganisha na wafilipino au unataka na nchi yetu tusipige hatua yoyote kiuchumi..kwa taarifa yako pamoja na rais wa ufilipino kunyonga wauza madawa lakini biashara bado inaendelea
 
Wakati imebaki siku moja watu walio daganywa wakadaganyika kuingia kuandamana ni bora wakatafakari haya nakumuomba radhi Rais wetu kwakuwa mwana democrasia.
Uko ufilipino wananchi yapata mwaka sasa walimchaguwa kidemocrasi rais mwenye maamuzi magumu ktk maswala ya kitaifa. Rais huyo tangu ameongia madarakani amesha nyonga zaid ya watu miasaba hamsini wauza unga. Tz hajanyonga hatA mmoja.
Rais huyo alienda mbali kutoa kibali raia kuwauwa wauza unga jambo limeongeza idadi kufika elfu. Hapa tz rais amesema wakitumia silaha ndio walazwe.
UN wameikemia uphilipino rais akawajibu kama kuwa UN nikuruhusu democ yakuwaruhusu wauza unga atajitoa uko un. Tz rais wetu hana red flag ya kutoka Un.
Rais huyo anaye nyonga wahalifu bila huruma wananchiwana muunga mkono 95%. Tz watanzania wanamuunga mkono kwa 98% tangu kuingia madarakani....
Kunyonga waharifu sio udictator. Kama ni sheria ya nchi kuwa wauza unga wanyongwe its oky.
 
Wakati imebaki siku moja watu walio daganywa wakadaganyika kuingia kuandamana ni bora wakatafakari haya nakumuomba radhi Rais wetu kwakuwa mwana democrasia.
Uko ufilipino wananchi yapata mwaka sasa walimchaguwa kidemocrasi rais mwenye maamuzi magumu ktk maswala ya kitaifa. Rais huyo tangu ameongia madarakani amesha nyonga zaid ya watu miasaba hamsini wauza unga. Tz hajanyonga hatA mmoja.
Rais huyo alienda mbali kutoa kibali raia kuwauwa wauza unga jambo limeongeza idadi kufika elfu. Hapa tz rais amesema wakitumia silaha ndio walazwe.
UN wameikemia uphilipino rais akawajibu kama kuwa UN nikuruhusu democ yakuwaruhusu wauza unga atajitoa uko un. Tz rais wetu hana red flag ya kutoka Un.
Rais huyo anaye nyonga wahalifu bila huruma wananchiwana muunga mkono 95%. Tz watanzania wanamuunga mkono kwa 98% tangu kuingia madarakani....
Rodrigo Durtete ni shidaaaa
 
rodrigo duterte huyu ni rais wa ufilipino aliechaguliwa mwez wa tano mwaka huu na kuapishwa mwez wa saba. ktk kampeni zake aliwaahid atamaliza tatizo la madawa ya kulevya kwa miez 6ya kwanza kwa kuwaua watu laki sita wanaousika na biashara hiyo mpaka leo ana miez miwil tangu kua rais kanyonga karibia 2,000. karuhusu polis na raia kuua yeyote anaejiusisha na madawa na atawapa zawadi na ukiua mara nyingi anakuchagua kuwa pc. jamaa ni mbabe sana maneno kama kuua, kunyonga na kutukana akiwa anautubia taifa lake ni kawaida sana kwake.
zawadi alizoweka japo sasa kaziongeza, kwa watakaofanikisha mauaji atakae nyonga drug lord atapata $90,000. distributor $60,000. pusher $30,000 na mtumiaji $1,500. Huyo ndo RODRIGO DUTERTE
 
Kwa nini mleta mada umemweka JPM kwenye kundi la uovu? Sidhani kama ni busara kumlinganisha Rais wa Tanzania na marais waovu, mlinganishe na marais wanaosifika kwa ubora.

Leo hii ukinilinganisha mimi na jambazi maana yake ni kwamba umekwishaniweka kwenye kundi la majambazi. Think positively, do positively.
 
Mfano wa kumfaanisha Mkosaji na mkosaji hauko sawa. Mfananishe na Viongozi wa nchi zenye demokrasia na maendeleo ya kiuchumi kama USA, UK, SA, n.k.

Si mmesema tunataka Tz ya Viwanda. Basi mfananishe na hao.
mpaka wanafika hapo walipo unajua walianzia wapi? au hujui historia ya nchi hizo kiongozi??
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom