PreGE2025 Rais wa Serikali ya Wanafunzi UDOM, Mohamed Abdallah: Nikihitimu chuo kikuu naenda VETA

PreGE2025 Rais wa Serikali ya Wanafunzi UDOM, Mohamed Abdallah: Nikihitimu chuo kikuu naenda VETA

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla)

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
4,393
Reaction score
14,500
Rais wa Serikali ya Wanafunzi Chuo Kikuu cha Dodoma, (UDOM) Mohamed Abdallah Mohamed amesema baada kumaliza elimu yake ya chuo kikuu anajiandaa kwenda chuo cha ufundi (VETA) kupata elimu ya ujuzi.

Akichangia mada ya Miaka Minne ya Uongozi wa Rais Samia katika Kipindi cha Mizani cha TBC1, Mohamed amesema kuwa Rais Samia amewagusa vijana katika maeneo mengi ikiwepo ongezeko la ajira kwa vijana na uboreshaji mkubwa wa vyuo vya VETA ambavyo vinawawezesha vijana kuajiriwa na kujiajiri.

Pia, Soma
 
Rais wa Serikali ya Wanafunzi Chuo Kikuu cha Dodoma, (UDOM) Mohamed Abdallah Mohamed amesema baada kumaliza elimu yake ya chuo kikuu anajiandaa kwenda chuo cha ufundi (VETA) kupata elimu ya ujuzi.

Akichangia mada ya Miaka Minne ya Uongozi wa Rais Samia katika Kipindi cha Mizani cha TBC1, Mohamed amesema kuwa Rais Samia amewagusa vijana katika maeneo mengi ikiwepo ongezeko la ajira kwa vijana na uboreshaji mkubwa wa vyuo vya VETA ambavyo vinawawezesha vijana kuajiriwa na kujiajiri.

Chawa chawa haelewi hata logic ya veta ilimrwdi kiongozi kasema tu . Kama hawa ndio wanatarajiwa kuwa viongozi usalamanwa nchi uko at risk
 
Rais wa Serikali ya Wanafunzi Chuo Kikuu cha Dodoma, (UDOM) Mohamed Abdallah Mohamed amesema baada kumaliza elimu yake ya chuo kikuu anajiandaa kwenda chuo cha ufundi (VETA) kupata elimu ya ujuzi.

Akichangia mada ya Miaka Minne ya Uongozi wa Rais Samia katika Kipindi cha Mizani cha TBC1, Mohamed amesema kuwa Rais Samia amewagusa vijana katika maeneo mengi ikiwepo ongezeko la ajira kwa vijana na uboreshaji mkubwa wa vyuo vya VETA ambavyo vinawawezesha vijana kuajiriwa na kujiajiri.

Hii nchi imejaa wasomi wajinga haswa, hapo anajipendekeza ili apate uteuzi
 
Sasa anasubiri nini badala kukusanya virago sasa hivi? Aende veta akachukue ujuzi kinachomkalisha hapo kusoma matango pori ni kitu gani? Kwani mpaka aseme si angejiendea zake tu? Tuna watu wa ajabu haijawahi kutokea bumunda lingine hili
 
Mnatumia nguvu sana
Rais wa Serikali ya Wanafunzi Chuo Kikuu cha Dodoma, (UDOM) Mohamed Abdallah Mohamed amesema baada kumaliza elimu yake ya chuo kikuu anajiandaa kwenda chuo cha ufundi (VETA) kupata elimu ya ujuzi.

Akichangia mada ya Miaka Minne ya Uongozi wa Rais Samia katika Kipindi cha Mizani cha TBC1, Mohamed amesema kuwa Rais Samia amewagusa vijana katika maeneo mengi ikiwepo ongezeko la ajira kwa vijana na uboreshaji mkubwa wa vyuo vya VETA ambavyo vinawawezesha vijana kuajiriwa na kujiajiri.

Pia, Soma
Mnatumia nguvu sana kupush hii agenda yenu mfu
 
Rais wa Serikali ya Wanafunzi Chuo Kikuu cha Dodoma, (UDOM) Mohamed Abdallah Mohamed amesema baada kumaliza elimu yake ya chuo kikuu anajiandaa kwenda chuo cha ufundi (VETA) kupata elimu ya ujuzi.

Akichangia mada ya Miaka Minne ya Uongozi wa Rais Samia katika Kipindi cha Mizani cha TBC1, Mohamed amesema kuwa Rais Samia amewagusa vijana katika maeneo mengi ikiwepo ongezeko la ajira kwa vijana na uboreshaji mkubwa wa vyuo vya VETA ambavyo vinawawezesha vijana kuajiriwa na kujiajiri.

Pia, Soma
Blood bastard, nenda saa hivi why waste time at University?
 
Sijui kwann siku zote wapumbavu ndio huwa wanapata headlines...

Kwa aina hii ya wahitimu kwakweli kama inchi tumeshafeli...Huyo ni mhitimu lakini hajui lengo la kuanzishwa VETA lilikua ni lipi.

Serikali iache kujificha kwenye mgongo wa VETA na badala yake ikili tu kuwa imeshafeli na hayo yote yametokana na uongozi mbovu uliosababishwa na viongozi wasio na uwezo/weledi.

Hao wanafunzi wote watakao enda VETA mambo yatakua ni yale yale watamaliza kisha wataanza kusotea ajira haswa idadi yao ikishakuwa kubwa. Ni wachache sana watakaoweza kujiajiri kwa hivyo vifani watakavyosomea na watakao fanikisha hivyo wengi wao watakua na maisha yakawaida tu ya kula, kuvaa na kulipa kodi. Hawatakua na tofauti na BODABODA.

Serikali ijitafakari sana japo kwa bahati mbaya kwasasa imekua kila linalotamkwa na viongozi wetu linaonekana kuwa ni sahihi hata kama siyo sahihi na hii ni kwasababu UCHAWA umetawala sana kwasasa. Tutafika tumechoka sana.
 
Sasa hapa huyu kijana anafanya siasa za kujikombakomba. Kwenda VETA ni general objective unaenda kusomea nini instantlly. Kama huna lengo kuu huwezi kwenda VETA kusoma kwa kuwa huna specific perspection
 
Back
Top Bottom