Rais wa Rwanda, Paul Kagame kufanya ziara ya kikazi ya siku mbili nchini Tanzania

Kama kuna Kitu kikubwa ambacho nakupongeza na sitoacha Kukupongeza Rais Dkt. Magufuli ni cha Kuona umuhimu wa kuwa na ukaribu kabisa na Rais wa Rwanda ' Genius ' na ' Mwanamume ' Paul Kagame na nina uhakika kuwa hutokuja Kujutia Ukaribu na Urafiki wako nae hasa katika suala zima la Maendeleo ya nchii yako hii ya Tanzania.

Mheshimiwa Rais Dkt. Magufuli yatasemwa mengi sana juu ya Urafiki na Ukaribu wako na Rais Kagame ila Mimi kama GENTAMYCINE leo nakuhakikishia kama kuna Rafiki mwema, makini na mzuri wa Kimaendeleo na ambaye nakuomba na nakushauri uendelee ' Kumkumbatia ' na hata ikibidi ' Kumnyenyekea ' basi ni Rais wa Rwanda Mheshimiwa Paul Kagame.

Tena nakushauri Rais Dkt. Magufuli usiishie tu kuwa nae katika mambo ya Kimaendeleo hasa ya Kiuchumi bali nakuomba pia muombe akusaidie hasa katika Taasisi zako ' Nyeti ' kama za Polisi, Usalama na Jeshini kwani siyo Siri kwa sasa nchi ya Rwanda katika hayo maeneo ' Nyeti ' tajwa hapo ipo vizuri yawezekana hata kuliko Tanzania hivyo ukiwa nae karibu Rais Kagame atakusaidia ili kuboresha zaidi.

Ni kweli Rwanda ni nchi ndogo sana ambayo ' Kijiografia ' ina usawa wa Mji mzima wa Kahama ( kwa wale msiojua / Mangumbaru ) lakini ina Watu / Raia ambao yawezekana wakawa na uwezo mkubwa wa Kufikiri ( IQ ) kuliko hata nchi moja hivi Afrika Mashariki ( jina nimeisahau ) yenye Watu kama Milioni 55+ lakini wenye ' IQ ' kubwa hawazidi hata 3500 huku waliobaki wakiwa na ama Ungumbaru au Upopoma mwingi.

Rais yoyote yule makini duniani ni lazima tu atampenda Rais Kagame kwani Kiongozi Shujaa, Mthubutu, Makini, Haogopi, Anajiamini, ana Maono makubwa ya Kimaendeleo, Hatishwi na Wapuuzi wachache au wengi, Mzalendo wa ukweli na Mpambanaji hasa. Sishangai sana ndiyo maana unaweza kuona pamoja na Kelele za ' Mangumbaru ' na ' Mapopoma ' wengi dhidi yake lakini bado Rais Kagame ameendelea kuwa Kipenzi si tu kwa Wananchi wenye ' Akili ' kubwa wa Rwanda bali hata kwa Viongozi wa Mataifa makubwa na Tajiri duniani kama Marekani, Uingereza, Ufaransa, Urusi, Uchina na Ujerumani bila kuisahau na Afrika Kusini.

Rais Dkt. Magufuli piga Kazi na usimwache huyo ' Genius ' na ' Mwanamume ' Rais Kagame akae mbali nawe. Mtumie, Msikilize, Muige kwa mambo yake mengi ambayo pia ni mazuri sana na nina uhakika kuna Siku utakuja Kunikumbuka GENTAMYCINE kuwa nilikushauri Jambo zuri / jema. Tena kwa hii Tanzania yako ya sasa unayoiongoza nadhani unahitaji zaidi Msaada na Mwongozo mkubwa wa Rais Kagame ili kuiweka Tanzania sawa na kuwafanya Watanzania wawajibike, wajue kutumia akili zao vizuri na waache Kulialia na Kuendekeza tu Siasa kila mara wakati Maendeleo yanatuacha na wenye upeo wanatukimbia.

Ni hayo tu Rais Dkt. Magufuli na nakuomba uyazingatie yote haya niliyokueleza hapa.

Mungu ibariki Rwanda
Mungu ibariki Tanzania
Mungu ibariki Jumuiya ya Afrika Mashariki
Mungu ibariki Afrika
Mungu wabariki sana Marais Paul Kagame na Dkt. John Magufuli
Mungu mbariki mno GENTAMYCINE ANTIBIOUTIQUE
Mungu walaani vikali na wapige Kofi zito wale wote wanaoichukia Rwanda, Rais wake, wanaomchukia pia GENTAMYCINE na Rais wa Tanzania Dkt. Magufuli
Mungu ubariki kupita maelezo huu Mtandao wangu / wetu pendwa kabisa wa JamiiForums

Nawasilisha.
Hatuwezi shirikiana nao hao ndugu zako kwenye maswala ya usalama bado sanaaa...naona unawapigia debe sana ndugu zako hao watukamate akili kwenye idara zetu sahau hicho kitu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Namshaka na uraia wako
Kama kuna Kitu kikubwa ambacho nakupongeza na sitoacha Kukupongeza Rais Dkt. Magufuli ni cha Kuona umuhimu wa kuwa na ukaribu kabisa na Rais wa Rwanda ' Genius ' na ' Mwanamume ' Paul Kagame na nina uhakika kuwa hutokuja Kujutia Ukaribu na Urafiki wako nae hasa katika suala zima la Maendeleo ya nchii yako hii ya Tanzania.

Mheshimiwa Rais Dkt. Magufuli yatasemwa mengi sana juu ya Urafiki na Ukaribu wako na Rais Kagame ila Mimi kama GENTAMYCINE leo nakuhakikishia kama kuna Rafiki mwema, makini na mzuri wa Kimaendeleo na ambaye nakuomba na nakushauri uendelee ' Kumkumbatia ' na hata ikibidi ' Kumnyenyekea ' basi ni Rais wa Rwanda Mheshimiwa Paul Kagame.

Tena nakushauri Rais Dkt. Magufuli usiishie tu kuwa nae katika mambo ya Kimaendeleo hasa ya Kiuchumi bali nakuomba pia muombe akusaidie hasa katika Taasisi zako ' Nyeti ' kama za Polisi, Usalama na Jeshini kwani siyo Siri kwa sasa nchi ya Rwanda katika hayo maeneo ' Nyeti ' tajwa hapo ipo vizuri yawezekana hata kuliko Tanzania hivyo ukiwa nae karibu Rais Kagame atakusaidia ili kuboresha zaidi.

Ni kweli Rwanda ni nchi ndogo sana ambayo ' Kijiografia ' ina usawa wa Mji mzima wa Kahama ( kwa wale msiojua / Mangumbaru ) lakini ina Watu / Raia ambao yawezekana wakawa na uwezo mkubwa wa Kufikiri ( IQ ) kuliko hata nchi moja hivi Afrika Mashariki ( jina nimeisahau ) yenye Watu kama Milioni 55+ lakini wenye ' IQ ' kubwa hawazidi hata 3500 huku waliobaki wakiwa na ama Ungumbaru au Upopoma mwingi.

Rais yoyote yule makini duniani ni lazima tu atampenda Rais Kagame kwani Kiongozi Shujaa, Mthubutu, Makini, Haogopi, Anajiamini, ana Maono makubwa ya Kimaendeleo, Hatishwi na Wapuuzi wachache au wengi, Mzalendo wa ukweli na Mpambanaji hasa. Sishangai sana ndiyo maana unaweza kuona pamoja na Kelele za ' Mangumbaru ' na ' Mapopoma ' wengi dhidi yake lakini bado Rais Kagame ameendelea kuwa Kipenzi si tu kwa Wananchi wenye ' Akili ' kubwa wa Rwanda bali hata kwa Viongozi wa Mataifa makubwa na Tajiri duniani kama Marekani, Uingereza, Ufaransa, Urusi, Uchina na Ujerumani bila kuisahau na Afrika Kusini.

Rais Dkt. Magufuli piga Kazi na usimwache huyo ' Genius ' na ' Mwanamume ' Rais Kagame akae mbali nawe. Mtumie, Msikilize, Muige kwa mambo yake mengi ambayo pia ni mazuri sana na nina uhakika kuna Siku utakuja Kunikumbuka GENTAMYCINE kuwa nilikushauri Jambo zuri / jema. Tena kwa hii Tanzania yako ya sasa unayoiongoza nadhani unahitaji zaidi Msaada na Mwongozo mkubwa wa Rais Kagame ili kuiweka Tanzania sawa na kuwafanya Watanzania wawajibike, wajue kutumia akili zao vizuri na waache Kulialia na Kuendekeza tu Siasa kila mara wakati Maendeleo yanatuacha na wenye upeo wanatukimbia.

Ni hayo tu Rais Dkt. Magufuli na nakuomba uyazingatie yote haya niliyokueleza hapa.

Mungu ibariki Rwanda
Mungu ibariki Tanzania
Mungu ibariki Jumuiya ya Afrika Mashariki
Mungu ibariki Afrika
Mungu wabariki sana Marais Paul Kagame na Dkt. John Magufuli
Mungu mbariki mno GENTAMYCINE ANTIBIOUTIQUE
Mungu walaani vikali na wapige Kofi zito wale wote wanaoichukia Rwanda, Rais wake, wanaomchukia pia GENTAMYCINE na Rais wa Tanzania Dkt. Magufuli
Mungu ubariki kupita maelezo huu Mtandao wangu / wetu pendwa kabisa wa JamiiForums


Nawasilisha.
 
Kama kuna Kitu kikubwa ambacho nakupongeza na sitoacha Kukupongeza Rais Dkt. Magufuli ni cha Kuona umuhimu wa kuwa na ukaribu kabisa na Rais wa Rwanda ' Genius ' na ' Mwanamume ' Paul Kagame na nina uhakika kuwa hutokuja Kujutia Ukaribu na Urafiki wako nae hasa katika suala zima la Maendeleo ya nchii yako hii ya Tanzania.

Mheshimiwa Rais Dkt. Magufuli yatasemwa mengi sana juu ya Urafiki na Ukaribu wako na Rais Kagame ila Mimi kama GENTAMYCINE leo nakuhakikishia kama kuna Rafiki mwema, makini na mzuri wa Kimaendeleo na ambaye nakuomba na nakushauri uendelee ' Kumkumbatia ' na hata ikibidi ' Kumnyenyekea ' basi ni Rais wa Rwanda Mheshimiwa Paul Kagame.

Tena nakushauri Rais Dkt. Magufuli usiishie tu kuwa nae katika mambo ya Kimaendeleo hasa ya Kiuchumi bali nakuomba pia muombe akusaidie hasa katika Taasisi zako ' Nyeti ' kama za Polisi, Usalama na Jeshini kwani siyo Siri kwa sasa nchi ya Rwanda katika hayo maeneo ' Nyeti ' tajwa hapo ipo vizuri yawezekana hata kuliko Tanzania hivyo ukiwa nae karibu Rais Kagame atakusaidia ili kuboresha zaidi.

Ni kweli Rwanda ni nchi ndogo sana ambayo ' Kijiografia ' ina usawa wa Mji mzima wa Kahama ( kwa wale msiojua / Mangumbaru ) lakini ina Watu / Raia ambao yawezekana wakawa na uwezo mkubwa wa Kufikiri ( IQ ) kuliko hata nchi moja hivi Afrika Mashariki ( jina nimeisahau ) yenye Watu kama Milioni 55+ lakini wenye ' IQ ' kubwa hawazidi hata 3500 huku waliobaki wakiwa na ama Ungumbaru au Upopoma mwingi.

Rais yoyote yule makini duniani ni lazima tu atampenda Rais Kagame kwani Kiongozi Shujaa, Mthubutu, Makini, Haogopi, Anajiamini, ana Maono makubwa ya Kimaendeleo, Hatishwi na Wapuuzi wachache au wengi, Mzalendo wa ukweli na Mpambanaji hasa. Sishangai sana ndiyo maana unaweza kuona pamoja na Kelele za ' Mangumbaru ' na ' Mapopoma ' wengi dhidi yake lakini bado Rais Kagame ameendelea kuwa Kipenzi si tu kwa Wananchi wenye ' Akili ' kubwa wa Rwanda bali hata kwa Viongozi wa Mataifa makubwa na Tajiri duniani kama Marekani, Uingereza, Ufaransa, Urusi, Uchina na Ujerumani bila kuisahau na Afrika Kusini.

Rais Dkt. Magufuli piga Kazi na usimwache huyo ' Genius ' na ' Mwanamume ' Rais Kagame akae mbali nawe. Mtumie, Msikilize, Muige kwa mambo yake mengi ambayo pia ni mazuri sana na nina uhakika kuna Siku utakuja Kunikumbuka GENTAMYCINE kuwa nilikushauri Jambo zuri / jema. Tena kwa hii Tanzania yako ya sasa unayoiongoza nadhani unahitaji zaidi Msaada na Mwongozo mkubwa wa Rais Kagame ili kuiweka Tanzania sawa na kuwafanya Watanzania wawajibike, wajue kutumia akili zao vizuri na waache Kulialia na Kuendekeza tu Siasa kila mara wakati Maendeleo yanatuacha na wenye upeo wanatukimbia.

Ni hayo tu Rais Dkt. Magufuli na nakuomba uyazingatie yote haya niliyokueleza hapa.

Mungu ibariki Rwanda
Mungu ibariki Tanzania
Mungu ibariki Jumuiya ya Afrika Mashariki
Mungu ibariki Afrika
Mungu wabariki sana Marais Paul Kagame na Dkt. John Magufuli
Mungu mbariki mno GENTAMYCINE ANTIBIOUTIQUE
Mungu walaani vikali na wapige Kofi zito wale wote wanaoichukia Rwanda, Rais wake, wanaomchukia pia GENTAMYCINE na Rais wa Tanzania Dkt. Magufuli
Mungu ubariki kupita maelezo huu Mtandao wangu / wetu pendwa kabisa wa JamiiForums


Nawasilisha.

Gentamycine

Ukosahihi. Lkn nimejiuliza kwa haraka sana, kwanini kaja ghafla? Pilika za ujio ndani ya siku chache mno zisizotimia wiki
 
Hilo neno lako la ' readlessness ' uliloliandika hapo wenyewe Waanzilishi wa Lugha ya Kiingereza nikimaanisha Waingereza wenyewe wanalijua? Narudia tena ninapokuwa ' nawadharau ' na kuwaambia ni ' Wapumbavu ' msiwe mnabisha. Kiingereza hujui sasa kwanini ung'ang'anie Kukiandika ili tu kumuonyesha ' Wordsmith ' GENTAMYCINE kwamba na Wewe pia unakijua wakati Kiuhalisia hukijui? Pumbavu.
WE NI MSHAMBA KABISA UNAFIKIRI KAMA KUJUA LUGHA ILOKUJABNA MELI NI JAMBO LA MAANA?? LUGHA YOYOTE ILE INA KAZI MOJA KUU YA KUKIDHI HITAJI LA MAWASILIANO.NATIVE ENGLSH SPEAKER'S WENYEWE BADO WANA SHIDA ya lugha yao (grammar)sarufi
 
Mtoa maada utakuwa una matatizo ya akili.Huwezi sema Tanzania nzima kumejaa watu wenye IQ ndogo.Hivi wanyarwanda unaowasifu mbona vilaza tu tumesoma nao wengine kutoka huko huko vilaza kweli kweli.
.
KAGAME ALILETA WANYARWANDA KAMA 30 KUSOMA UDSM,WALIKULA SUP WOTE SEMESTER YA KWANZA ,OFISI YA VICE COU..ACCADEMIC AFFAIRS INAJUA.

HAO NDO ANAOWASIFU CHAKUBANGA GENTAMYCINE AKA KUBWA JINGA !!
 
Kama kuna Kitu kikubwa ambacho nakupongeza na sitoacha Kukupongeza Rais Dkt. Magufuli ni cha Kuona umuhimu wa kuwa na ukaribu kabisa na Rais wa Rwanda ' Genius ' na ' Mwanamume ' Paul Kagame na nina uhakika kuwa hutokuja Kujutia Ukaribu na Urafiki wako nae hasa katika suala zima la Maendeleo ya nchii yako hii ya Tanzania.

Mheshimiwa Rais Dkt. Magufuli yatasemwa mengi sana juu ya Urafiki na Ukaribu wako na Rais Kagame ila Mimi kama GENTAMYCINE leo nakuhakikishia kama kuna Rafiki mwema, makini na mzuri wa Kimaendeleo na ambaye nakuomba na nakushauri uendelee ' Kumkumbatia ' na hata ikibidi ' Kumnyenyekea ' basi ni Rais wa Rwanda Mheshimiwa Paul Kagame.

Tena nakushauri Rais Dkt. Magufuli usiishie tu kuwa nae katika mambo ya Kimaendeleo hasa ya Kiuchumi bali nakuomba pia muombe akusaidie hasa katika Taasisi zako ' Nyeti ' kama za Polisi, Usalama na Jeshini kwani siyo Siri kwa sasa nchi ya Rwanda katika hayo maeneo ' Nyeti ' tajwa hapo ipo vizuri yawezekana hata kuliko Tanzania hivyo ukiwa nae karibu Rais Kagame atakusaidia ili kuboresha zaidi.

Ni kweli Rwanda ni nchi ndogo sana ambayo ' Kijiografia ' ina usawa wa Mji mzima wa Kahama ( kwa wale msiojua / Mangumbaru ) lakini ina Watu / Raia ambao yawezekana wakawa na uwezo mkubwa wa Kufikiri ( IQ ) kuliko hata nchi moja hivi Afrika Mashariki ( jina nimeisahau ) yenye Watu kama Milioni 55+ lakini wenye ' IQ ' kubwa hawazidi hata 3500 huku waliobaki wakiwa na ama Ungumbaru au Upopoma mwingi.

Rais yoyote yule makini duniani ni lazima tu atampenda Rais Kagame kwani Kiongozi Shujaa, Mthubutu, Makini, Haogopi, Anajiamini, ana Maono makubwa ya Kimaendeleo, Hatishwi na Wapuuzi wachache au wengi, Mzalendo wa ukweli na Mpambanaji hasa. Sishangai sana ndiyo maana unaweza kuona pamoja na Kelele za ' Mangumbaru ' na ' Mapopoma ' wengi dhidi yake lakini bado Rais Kagame ameendelea kuwa Kipenzi si tu kwa Wananchi wenye ' Akili ' kubwa wa Rwanda bali hata kwa Viongozi wa Mataifa makubwa na Tajiri duniani kama Marekani, Uingereza, Ufaransa, Urusi, Uchina na Ujerumani bila kuisahau na Afrika Kusini.

Rais Dkt. Magufuli piga Kazi na usimwache huyo ' Genius ' na ' Mwanamume ' Rais Kagame akae mbali nawe. Mtumie, Msikilize, Muige kwa mambo yake mengi ambayo pia ni mazuri sana na nina uhakika kuna Siku utakuja Kunikumbuka GENTAMYCINE kuwa nilikushauri Jambo zuri / jema. Tena kwa hii Tanzania yako ya sasa unayoiongoza nadhani unahitaji zaidi Msaada na Mwongozo mkubwa wa Rais Kagame ili kuiweka Tanzania sawa na kuwafanya Watanzania wawajibike, wajue kutumia akili zao vizuri na waache Kulialia na Kuendekeza tu Siasa kila mara wakati Maendeleo yanatuacha na wenye upeo wanatukimbia.

Ni hayo tu Rais Dkt. Magufuli na nakuomba uyazingatie yote haya niliyokueleza hapa.

Mungu ibariki Rwanda
Mungu ibariki Tanzania
Mungu ibariki Jumuiya ya Afrika Mashariki
Mungu ibariki Afrika
Mungu wabariki sana Marais Paul Kagame na Dkt. John Magufuli
Mungu mbariki mno GENTAMYCINE ANTIBIOUTIQUE
Mungu walaani vikali na wapige Kofi zito wale wote wanaoichukia Rwanda, Rais wake, wanaomchukia pia GENTAMYCINE na Rais wa Tanzania Dkt. Magufuli
Mungu ubariki kupita maelezo huu Mtandao wangu / wetu pendwa kabisa wa JamiiForums

Nawasilisha.
KAGAME ALILETA WANYARWANDA KAMA 30 HIVI KUSOMA UDSM,WALIKULA SUP WOTE SEMESTER YA KWANZA TU.ETI HAO NDIO Genius !! AHAA KUBWA JINGA GENTAMYCINE UNAFURAHISHA MNO !!
 
Kama kuna Kitu kikubwa ambacho nakupongeza na sitoacha Kukupongeza Rais Dkt. Magufuli ni cha Kuona umuhimu wa kuwa na ukaribu kabisa na Rais wa Rwanda ' Genius ' na ' Mwanamume ' Paul Kagame na nina uhakika kuwa hutokuja Kujutia Ukaribu na Urafiki wako nae hasa katika suala zima la Maendeleo ya nchii yako hii ya Tanzania.

Mheshimiwa Rais Dkt. Magufuli yatasemwa mengi sana juu ya Urafiki na Ukaribu wako na Rais Kagame ila Mimi kama GENTAMYCINE leo nakuhakikishia kama kuna Rafiki mwema, makini na mzuri wa Kimaendeleo na ambaye nakuomba na nakushauri uendelee ' Kumkumbatia ' na hata ikibidi ' Kumnyenyekea ' basi ni Rais wa Rwanda Mheshimiwa Paul Kagame.

Tena nakushauri Rais Dkt. Magufuli usiishie tu kuwa nae katika mambo ya Kimaendeleo hasa ya Kiuchumi bali nakuomba pia muombe akusaidie hasa katika Taasisi zako ' Nyeti ' kama za Polisi, Usalama na Jeshini kwani siyo Siri kwa sasa nchi ya Rwanda katika hayo maeneo ' Nyeti ' tajwa hapo ipo vizuri yawezekana hata kuliko Tanzania hivyo ukiwa nae karibu Rais Kagame atakusaidia ili kuboresha zaidi.

Ni kweli Rwanda ni nchi ndogo sana ambayo ' Kijiografia ' ina usawa wa Mji mzima wa Kahama ( kwa wale msiojua / Mangumbaru ) lakini ina Watu / Raia ambao yawezekana wakawa na uwezo mkubwa wa Kufikiri ( IQ ) kuliko hata nchi moja hivi Afrika Mashariki ( jina nimeisahau ) yenye Watu kama Milioni 55+ lakini wenye ' IQ ' kubwa hawazidi hata 3500 huku waliobaki wakiwa na ama Ungumbaru au Upopoma mwingi.

Rais yoyote yule makini duniani ni lazima tu atampenda Rais Kagame kwani Kiongozi Shujaa, Mthubutu, Makini, Haogopi, Anajiamini, ana Maono makubwa ya Kimaendeleo, Hatishwi na Wapuuzi wachache au wengi, Mzalendo wa ukweli na Mpambanaji hasa. Sishangai sana ndiyo maana unaweza kuona pamoja na Kelele za ' Mangumbaru ' na ' Mapopoma ' wengi dhidi yake lakini bado Rais Kagame ameendelea kuwa Kipenzi si tu kwa Wananchi wenye ' Akili ' kubwa wa Rwanda bali hata kwa Viongozi wa Mataifa makubwa na Tajiri duniani kama Marekani, Uingereza, Ufaransa, Urusi, Uchina na Ujerumani bila kuisahau na Afrika Kusini.

Rais Dkt. Magufuli piga Kazi na usimwache huyo ' Genius ' na ' Mwanamume ' Rais Kagame akae mbali nawe. Mtumie, Msikilize, Muige kwa mambo yake mengi ambayo pia ni mazuri sana na nina uhakika kuna Siku utakuja Kunikumbuka GENTAMYCINE kuwa nilikushauri Jambo zuri / jema. Tena kwa hii Tanzania yako ya sasa unayoiongoza nadhani unahitaji zaidi Msaada na Mwongozo mkubwa wa Rais Kagame ili kuiweka Tanzania sawa na kuwafanya Watanzania wawajibike, wajue kutumia akili zao vizuri na waache Kulialia na Kuendekeza tu Siasa kila mara wakati Maendeleo yanatuacha na wenye upeo wanatukimbia.

Ni hayo tu Rais Dkt. Magufuli na nakuomba uyazingatie yote haya niliyokueleza hapa.

Mungu ibariki Rwanda
Mungu ibariki Tanzania
Mungu ibariki Jumuiya ya Afrika Mashariki
Mungu ibariki Afrika
Mungu wabariki sana Marais Paul Kagame na Dkt. John Magufuli
Mungu mbariki mno GENTAMYCINE ANTIBIOUTIQUE
Mungu walaani vikali na wapige Kofi zito wale wote wanaoichukia Rwanda, Rais wake, wanaomchukia pia GENTAMYCINE na Rais wa Tanzania Dkt. Magufuli
Mungu ubariki kupita maelezo huu Mtandao wangu / wetu pendwa kabisa wa JamiiForums

Nawasilisha.
Kwa hiyo unaonyesha kuwa tz ni kwa sasa ni dhaifu kiasi hicho mpaka kwa kagame raisi hebu ona wajinga wa aina hii ktk nchi unayoitawala huyu hata utendaji wa kijiji hafai ika anaweza akawa anawaza udc Mungu wangu
 
Hizi Takwimu zako ni za lini? Mimi ninachojua Tanzania yako kwa sasa mnakaribia 75+ Million. Kwani Afrika Mashariki nchi iliyopo ni Tanzania yenu / yako tu? Acha kuwa Mpuuzi na Kujihisi tafadhali.
Takwimu za 2017.Hyo ya kwako ni ya uongo Tanzania hatujafika milioni 75 tupo milioni 57.
 
Hio n mpango wao kibiashara jiwe n mhuni ile boda kuendelea kufungwa inamaanisha Hapo TPA n shavu mizigo hapitii tena Mombasa kuingia Rwanda..wazee wa monopoly huu n upuuzi kwa ustawi E.africa
 
Yuko wapi siku hizi yule ng'ombe wa maksai el maarufu kama COW au Coalition Of the Willing!
Rwanda Uganda at loggerheads, Rwanda Burundi all over each other; Quo Vadis EAC; inaelekea wapi jumuia ya afrika mashariki?!
Mimi nahisi Kagame anajiona yuko top ya maraisi wenzake wote na ndio sababu ya mvurugano na wenzake Kina Burundi, Uganda na hata Congo. Kama huyu jamaa atapata mwanya anaweza hata kutawala EA nzima, so mtu mzuri hata kidogo!
 
Was Kenya to pay? If not why did the mighty Kenya fail to convince Total?
If I remember correctly, Tz removed the land rates charges that Kenya insisted that the oil companies would have had to pay... Last I heard JPM was questioning how they allowed such a deal to happen and wants to revisit the charges....


But the biggest impendiment for Total not choosing Lamu was the uncertainty over alshabaab in the north east and also the uncertainty over Lamu port which at the time had not started construction, Northern Kenya is very underdeveloped and scarsly populated with a population density of 4 people per sq.km while a place like Nairobi is like 4000....it's hard to imagine a developed Northern Kenya without actually seeing it... Even electricity from the national grid doesn't get there, it's only recently after the Turkana wind firm was completed.... There was just too much uncertainty and too much risk compared to going through Tz with Tanga port arleady operational....

But now as we speak, we have a road to South Sudan under construction which passes close to the oil fields, we also have the road from Lamu to garissa starting construction this year and Lamu port first 3 berths are 85% complete.... So the development of North and North eastern Kenya is looking less like a dream and more like the reality everyday... And since they decided that the pipeline will be built underground hence be less exposed to any security risk, the insuarence premium will be less costly...
 
Back
Top Bottom