Lukolo
JF-Expert Member
- Dec 2, 2009
- 5,143
- 3,196
Sina uhakika ilikuwa ni lini, lakini inaonekana video iliwekwa youtube tangu mwezi wa tano. Na wala sijui kama ilishaletwa hapa or not. Lakini kama haikuletwa basi pata burudani ya jinsi Wanyarwanda wanaoishi Uingereza wanavyomchukia Rais wao.
Sijaamini macho yangu kwamba Rais huyu anachukiwa kiasi hiki na watu wake walioko nje ya nchi. Wanaimba Kagame ni muuaji Kagame ni muuaji. Na bado anatuchokoza watanzania.
Source: http://jambotz8.blogspot.nl/2013/08/angalia-video-ya-rais-kagame-apopolewa.html
Sijaamini macho yangu kwamba Rais huyu anachukiwa kiasi hiki na watu wake walioko nje ya nchi. Wanaimba Kagame ni muuaji Kagame ni muuaji. Na bado anatuchokoza watanzania.
Source: http://jambotz8.blogspot.nl/2013/08/angalia-video-ya-rais-kagame-apopolewa.html
Last edited by a moderator: