Bila bila
JF-Expert Member
- Dec 20, 2016
- 21,464
- 37,711
Kunyamazia uhalifu ni kosa kubwa, atalipa kwa kubariki ukatili wa polisi wake.ila Rais wa nigeria makosa yake ni nini ?hilo kundi la polisi ndo watabebeshwa mzigo wao
Kunyamazia uhalifu ni kosa kubwa, atalipa kwa kubariki ukatili wa polisi wake.ila Rais wa nigeria makosa yake ni nini ?hilo kundi la polisi ndo watabebeshwa mzigo wao
Kwa sababu rai zao wenyewe wana matatizo,unachokinda ndio unachokivuna hao viongozi wametoka kwenye jamii zetu.Viongozi waafrika wanamatatizo mengi sana
Kama ni hivi Africa si sehemu salama kuishiKwa sababu rai zao wenyewe wana matatizo,unachokinda ndio unachokivuna hao viongozi wametoka kwenye jamii zetu.
Tukiwazungumziaga wazungu kwa mabaya au mazuri huwa tunahusisha wote viongozi wao hadi wananchi wao ila huku et wenye matatizo ni viongozi tu ila sie wananchi ndio hatuna tatizo.
Sawa mkuu ,baada ya tar 28 siwezi kulalamika kama tumeibiwa kura maana haitokaa itokee huo wizi wa kura.Ccm wameanza kuchezea uchaguzi leo au jana?nini mmefanya kipindi chote hicho?
Hii miaka mitano yote mnalalamika udikteta ila hadi sasa hakuna mlichofanya na dikteta atarudi tena madarakani na hakuna mtakachofanya,mkipigwa mkwara tu na polisi mnaufyata halafu ndio mtaweza kufanya kama vidume wa Lagos huko?
Nyie mnasubiri hiyo 28 mkapige kura na baada ya hapo mnalamike humu mitandaoni kuwa mmeibiwa kura na kisha mnasahau maisha yanaendelea.
Bunjumbura
Jaribu kutofautisha ya Buhari na ya nchini mwakoHakuna cha maridhiano inatakiwa ang'oke ,wanaijeria wakaze tu ,No more dictators in africa ,inatakiwa madikteta wote waondoke!! Tar 29 tunaanza na sisi kumuondoa dikteta uchwara.
Jaribu kutofautisha ya Buhari na ya nchini mwako
Kigali kwa swahibaBunjumbura