Kipenzi Changu
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 58,069
- 134,428
Tunaendelea kupokea pongezi kila kona ya dunia. Safari hii tumepokea pongezi toka ikulu ya Senegal kupitia kwa Rais Sall.
Yanga iliimbiwa wimbo na le Grande pepe kalè wa empire Bakuba ambaye wakati huo alikuwa mkubwa kuliko huyo raisi wa Senegal kwa sasaView attachment 2301072
Tunaendelea kupokea pongezi kila kona ya dunia. Safari hii tumepokea pongezi toka ikulu ya Senegal kupitia kwa Rais Sall.
kama unateseka kufaaaYanga iliimbiwa wimbo na le Grande pepe kalè wa empire Bakuba ambaye wakati huo alikuwa mkubwa kuliko huyo raisi wa Senegal kwa sasa
Huwa sishabikii mipira yenu ya ungaunga mwana mtajijua wenyewekama unateseka kufaaa
hapa umefuata niniHuwa sishabikii mipira yenu ya ungaunga mwana mtajijua wenyewe
We mkali...,itakuwa tunashare camp manake hadi fonts zilezile....anyway yaani sijui kwanini SSH anachelewa inatakiwe atoe tamko la kumpongeza kupitia SSCView attachment 2301072
Tunaendelea kupokea pongezi kila kona ya dunia. Safari hii tumepokea pongezi toka ikulu ya Senegal kupitia kwa Rais Sall.
Kwann utesekeee?? Kwann uumie??Yanga iliimbiwa wimbo na le Grande pepe kalè wa empire Bakuba ambaye wakati huo alikuwa mkubwa kuliko huyo raisi wa Senegal kwa sasa







Hamna ishu nyie,,mambo ya kawaida sana hayo..Raisi kapongeza raia wake au sijui wenzetu mlitaka awapongeze raia wa Botswana?😂😂Kwann utesekeee?? Kwann uumie??
Kunywa maji mengi ya uvugu vugu, afu pumzikaaa.
Usijichoshee.
Byuti byuti.
Hamna ishu nyie,,mambo ya kawaida sana hayo..Raisi kapongeza raia wake au sijui wenzetu mlitaka awapongeze raia wa Botswana?![]()






subiri Bangala atapongezwa na rais wa Bacongo. Km yuko buzzy na vita hata cm hashiki hiyo haituhusuuu.