"Rais wa misiba"

hivi impaka jeshi kuizinishwa kushiriki msiba ni kwa amri ya nani,,,,,,,makamu wa rais kuwa pale ni amri ya nani,,,,,,,viongozi wengi hutumia matukio haya kujijenga kisiasa hasa ukiwa mwanasiasa.
 
Mimi nimejaribu kuonyesha tu jinsi ambavyo binadamu haturidhiki hata iweje.

Nina imani kabisa kuwa hata kama leo angeenda kwenye kuwaaga hao maiti bado tu wangekuwepo ambao wangemlaumu....

He is damned if he does and damned if he doesn't....
Hapana Nyani Ngabu, Rais anatufanya tumkosee adabu hata wale tunaomuunga mkono, hili la misiba na majanga sitamuunga mkono kwa tabia yake mbovu ya kujifanya yuko busy wakati wa matatizo.
 
Hapana Nyani Ngabu, Rais anatufanya tumkosee adabu hata wale tunaomuunga mkono, hili la misiba na majanga sitamuunga mkono kwa tabia yake mbovu ya kujifanya yuko busy wakati wa matatizo.

Sawa, huo ni mtazamo wako na una haki ya kuwa nao.
 

Bora hajaenda angeweza kuropoka kwani ajali imeleta Serikali. Na usishangae kesho akaropoka.

Kama Wabunge ambao ni waadhirika wamsiba wameshindwa kupewa nafasi hata ya pole,halafu kesho wanasema Tanzania yetu sote.
 
Unapokua kiongoz na watu wakasema jambo hili au lile iwe nila kukukosoa au kukusifia iyo haikuondolei wewe kufanya kile kilichokupasa kufanya au kile unachokiona ndo bora kwa watu wako.
 

Watu wako buzy kumfanya Magufuli ni Malaikam hata hakikosea wako radhi kujustfy makosa ya mwingine kuwa halali ya Magu,
Ukabila mbaya
 
JPM shida yake hajui kabisa kuweigh out matukio..

Kwamba hili tukio kubwa na Taifa zima kwa hivi sasa lipo kwenye hili tukio so my presence is inevitable.. Hajui ku balance mambo...

Yeye kwa kutokwenda leo msibani anafikiria amejitofautisha na jk kumbe ni ujinga kwamba kwenye hili tukio alipaswa awepo.

Watanzania inatupasa kuwa makini sana kwenye chaguzi zetu.. Tunaweza kuja kuchagua mtu ambae anatakiwa awe wodini kule Psychiatric Department.
 
Upuuzi mtupu! We endelea kubeba box uko US mambo ya huku bongo yanakuhusu nini?!
 
Bora hajaenda angeweza kuropoka kwani ajali imeleta Serikali. Na usishangae kesho akaropoka.

Kama Wabunge ambao ni waadhirika wamsiba wameshindwa kupewa nafasi hata ya pole,halafu kesho wanasema Tanzania yetu sote.

Ona sasa!

Huku wengine wakimlaani kwa kukosekana kwakwe wengine mnasema "Bora hajaenda"!!

Kweli urais ni mzigo!!!
 
Naona sasa watu mnaanza kucheza miziki ya kikenya,,kila kitu angalia kenya wamefanya hiki na hiki,,sasa na wao wamejua na wanaanza kuwachezesha mizik yao huku wanawacheka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…