Fahari ya kusini
JF-Expert Member
- Nov 26, 2022
- 449
- 1,696
Tujiandae na Rais wa kwanza mgogo kwenye nchi muda wowote na saa yoyote ile!!!!!!!!!
Hivi siku hizi wachawi hawana nguvu kabisa?Tujiandae na Rais wa kwanza mgogo kwenye nchi muda wowote na saa yoyote ile!!!!!!!!!
... na fisi zao zinazochekeleaga kuvuka barabara za lami!!!🤣😄😃😀😅😴😴😴😴😴😁🙄😂😂😂Watani Zangu Wagogo
By Jiwe
Hutaki tuongozwe na mgogo?Hivi siku hizi wachawi hawana nguvu kabisa?
Akasema Sizikwi Dodoma... na fisi zao zinazochekeleaga kuvuka barabara za lami!!!
😅
Na hii ipo mbio save dateKatika kumbukumbu zangu kwa mzaha mzaha hivi Fahari ya kusini ulitoa onyo mapema sana kwa Majaliwa ndugu usijaribu kwenda kuchukua za ubunge, muda wako umeisha.