Busu la Kenge
JF-Expert Member
- Jun 13, 2025
- 2,331
- 4,239
Rais wa Kosovo ambaye ni muislamu kaudhalilisha uislam kwa kutovaa ushungi ama hijab.
Hii haileti picha nzuri kwenye umma wa uislam na mafundisho ya kiislamu.
Ikumbukwe Kosovo, Bosnia na Albania ni nchi za kiislamu Ulaya lakini wanawake wao wengi hawavai ushungi na siyo vizuri kwenye mustakabal mzima wa imani kwa ujumla.
Angalau Uturuki sasa hivi wanawake wengi wanajitahidi kurudia kuvaa hijab.
adriz de mbusii
Hii haileti picha nzuri kwenye umma wa uislam na mafundisho ya kiislamu.
Ikumbukwe Kosovo, Bosnia na Albania ni nchi za kiislamu Ulaya lakini wanawake wao wengi hawavai ushungi na siyo vizuri kwenye mustakabal mzima wa imani kwa ujumla.
Angalau Uturuki sasa hivi wanawake wengi wanajitahidi kurudia kuvaa hijab.
adriz de mbusii