Rais wa FIFA amewakingia kifua

RAKI BIG

JF-Expert Member
Apr 26, 2020
394
456
Wachezaji wanaovua jezi zao kwenye nia ya kupinga ubaguzi wanastahili pongezi na sio adhabu, kwa mujibu wa Rais wa shirikisho la soka Duniani , Gianni Infantino.

Kumbuka kwenye kanuni za soka mchezaji akivua jezi ni kosa na anadhibiwa kwa kadi ya njano.

ftwundies1.jpg
 
Back
Top Bottom