RAKI BIG
JF-Expert Member
- Apr 26, 2020
- 394
- 456
Wachezaji wanaovua jezi zao kwenye nia ya kupinga ubaguzi wanastahili pongezi na sio adhabu, kwa mujibu wa Rais wa shirikisho la soka Duniani , Gianni Infantino.
Kumbuka kwenye kanuni za soka mchezaji akivua jezi ni kosa na anadhibiwa kwa kadi ya njano.
Kumbuka kwenye kanuni za soka mchezaji akivua jezi ni kosa na anadhibiwa kwa kadi ya njano.